toa taarifa kama ametangazwa na si vinginevyo
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa. Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.
Katangazwa, Source TBC1
Jamani, niko mita kadha toka eneo la tukio, bado hakuna kitu...Lema , Ndesamburo, Mbowe na watu wa CCM bado wako chumbani!..Tuwe wapole tusubiri!
Katangazwa, Source TBC1
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa. Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.