Elections 2010 CONFIRMED: Kigwangala atangazwa rasmi mshindi Nzega

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
CCM - 20,470
CHADEMA - 8,056
CUF - 5,833 (Wamepata kata ya Nzega mjini ambapo Dr. Slaa kaongoza kura za urais)
 
Too SAD. Minyamwezi bwana, akili zetu ni Nuzri sana kuwa kwenye karne ya 16.
 
I don believe it, kweli huyo jamaa amechukua jimbo la nzega? n then Dk kaongoza kwa kura ngapi?
 
Kigwangala ni ''mwanasiasa'' mzuri. Anajua kujenga hoja. Nilikuwa namuona enzi zile wanafunzi wa Muhimbili wamegoma.

Inaonekana wakazi wa Nzega wamefanya uchaguzi wao kwa kuangalia mtu na si CHAMA - ndio maana Dr. Slaa kapata kura nyingi za urais
 
Bado kidogo nimzuie Invisible asitangaze result za kuumiza kama hizo lakini hamna jinsi.
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

Akiamua kuchapa kazi watu watamtukuza na Mungu atambariki!
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

hongera, kafanye kazi uliyo tumwa na wana Nzega/ watanzania....
 
Dr. Kigwangalla,

Mkuu hongera zako; ni lazima tukubali kutokubaliana. Wewe ni mmoja kati ya MPs wapya wa CCM ambao mpo JF; tunatumaini pindi Bunge litapoanza hamtatukimbia ili wadau waweze kuwasilisha kero zao nanyi msaidie kuziwasilisha mjengoni.

Challenges unazokumbana nazo hapa JF ni sehemu ya maisha ya mtaani, wale wasiokuwa jimboni mwako ni wazi wataongea mengi kwakuwa hawajui kinachoendelea huko; huwezi kum-please kila mtu mkuu
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?
wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

Dr;

Please fikisha ujumbe wangu huu Bungeni;

Mosi,kahoji wabunge wa viti maalum wanamsadia nini mtz wa Nzega?Kawasilishe hoja kwa sababu wabunge hawa wasio na Jimbo wanatafuna sana uchumi wetu;je siyo jambo la busara kama wakifutwa?

Pili,Ma RC na ma-DC wanafanya kazi gani tofauti na kazi za Wakurugenzi wa miji?Kwa nn vyeo hivi visifutwe na fedha tutakazo ziokoa ziingizwe kwenye miradi ya maendeleo?

Mwisho,kwa nini TZ tusiwe tunawathibitisha Bungeni wataalam wanaoteuliwa kama vile Majaji au makamishna wa Tume mbalimbali ikiwemo ya Uchaguzi ambako pindi wakithibitishwa na Bunge Rais HAWEZI tena kuwa na uwezo wa kuwafukuza na hii itafanya wafanye kazi zao bila kuogopa kufukuzwa na Rais!

Weka akilini kuwa baada ya mamlaka kumsafisha Kijana Bashe atakuja kukupinga huko mwaka 2015 kwa hiyo fanya kazi kweli kweli ili kujiongezea kura kwenye uchaguzi wa maoni ndani ya chama chako mwaka 2015!

Nakutakia uwakilishi mwema Dr!
 
hongera dr usisahau taaluma yako ya elimu na pia wananchi waliokuchagua............hapa jf utapambana na vichwa ambavyo vitakusaidia sana mjengoni.always maslahi ya nchi yanakuja mwanzo kabla ya maslahi yako binafsi.
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

... Ana tembea kama bata, anakula kama bata, anahema kama bata, ana... kama bata; Huyo ni bata tu... huwezi kuwa mtetezi wa MAFISADI then ukasema wewe siyo kati ya hao MAFISADI... CHalii yangu unafahamu fika kuwa UMECHAKACHAU KUANZIA KURA ZA MAONI MPAKA ZA UBUNGE... YES Tunajua mlichokifanya.
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
Hamisi nakufahamu wewe ni mpiganaji tangu tunasoma wote MUCHS, Tatizo chama ulichopitia kitakudhibiti tu ufanye kile CCM inachoamini na inachotaka si wananchi wa jimbo lako wanachotaka. Si unaona akina Anna Kilango walivyozimwa midomo kwenye ishu za ufisadi. So dont expect you wiil do much.
 
Nakuonea sana huruma kaka,pamoja na pongezi unazostahili ila walio kuzunguka kama bado basi tegemea watahakikisha uwe mmoja wao,otherwise nakushauri jaribu kufuata nyayo za mwakyembe..n watchout
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!

hongera kwa kuchaguliwa nafasi ya kuwakilisha wananchi bungeni

kutokana na nafasi uliyo nayo, ningekuomba uanze kuji upgrade kwenye matumizi ya lugha pamoja na uandishi huku ukiendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo lako.

** ni nyota ya jaha sio ndoto ya jaha.
 
Oyaa mbona wengi humu mlikuwa hamtaki nishinde? Hivi mimi kupata bahati nimekosa nini jamani?

Mi mpiganaji tu, wengine mnadai nimeteuliwa, basi mara anafanya kazi kwa mke wa rais, mara kabebwa na riz1, mara vile! Hivi nyie hamuamini mungu yupo na anatuona sisi wachache wenye dhamira safi? Wapiganaji wa ukweli? Watafutaji tusioogopa wala kubadili nia, hata kama unajua una nafasi ndogo ya kupata? Nyie hamuoni kama nimepata kibahati sana jamani?

Hebu angalieni wasifu wa wapinzani wangu wa karibu halafu mnitafute na mimi...kama hamtogundua Kigwangala ni mhangaikaji ambaye ndoto ya jaha ilimuangukia na pengine mungu amemtuma kazi maalum! Basi watu mmebaki mkitafuta mchawi tu! Mtamsingizia Kikwete, Riz1 na mama yake - wakati wala huyo mnyamwezi Kigwangala hawamjui wala hawajawahi kukutana naye!!! Kikwete ameniona mara ya kwanza alipokuja kupiga kampeni Nzega! Can you imagine? !

Spirit yangu ndo imenifikisha hapa, huwa siogopi kutafuta kitu, I always believe in myself and my abilities! Huwa najiamni sana na hupigana bila kukata tamaa...ungefika Nzega ungesema jimbo limekwenda CHADEMA hilo, lkn sikukata tamaa, niliendelea kujipanga na kufanya kampeni za nguvu zaidi mpaka watu wakanifahamu vizuri, wakauona uwezo wangu, wakaniamini wakanipa kura nyingi kiasi hicho! It takes a braveheart to be in my position and to persist and win such a challenging election!
Kigwa usitake kutudanganya, hata kama una dhamira ya kweli hutaweza kwani chama ulichomo tunajua chama kwanza wananchi baadae, unaweza kuwa na dhamira nzuri lakini chama chako kitakuangusha, kwa kuwa najua nawe utapenda tena uteuliwe kuwa mgombea tena usingependa ukiangushe chama chako, fisadi huzaa fisadi.
Hata hivyo sidhani kama nawe ni msafi kihivyo kwani nimesikia ulitaka kuvuliwa madaraka kwa ubadhirifu wa fedha ulipokuwa kiongozi wa chama kimoja chuoni kwako ukanunua gari, sina uhakika lakini yaweza kuwa kweli.
 
Mbunge Kigwangalla anaamini kushinda kwa bahati? Hivi tutamaliza umaskini kwa fikra za kufanya mambo kwa kubahatisha? Anaona mzigo wa kuwatumikia watu masikini bahati? Au pengine hajui hata kama huu ni mzigo, anaona ulaji na power, ndiyo maana anaona "bahati".

Hivi huyu si ndiye yule jamaa kaja na narrowminded notions za kutaka kulazimisha kila mtu ajitambulishe kwa jina lake la ukweli hapa?

Mtu kupata ubunge tu kila kitu "mimi" "mimi", hata siasa za kushukuru wapiga kura wako hamna, umebaki kujitamba na "spirit yangu tu ndiyo imenifikisha hapa". Hata huyo Kiranga high priest of cockiness anakusema kwenye hili basi ujue kasheshe.

Just goes to show you madudu tuliyonayo bungeni.
 
Back
Top Bottom