tanzania65
Member
- Mar 20, 2007
- 28
- 9
Sugu kapata kura 46,411 na ndio mshindi..hongera sana
Sugu kapata kura 46,411 na ndio mshindi..hongera sana
Sina Data zaidi ya hizo kwa sasa...
No data no right to speak!
Du huyu Mbilinyi ni kama amem-double Mpesya...kazi kweli kweli mwaka huu!.Jimbo la Mbeya Mjini - UBUNGE: Joseph Mbilinyi (CHADEMA) 46,411 Benson Mpesya (CCM) 24,327. Nguvu ya Umma Imeongea.
Haya yametoka kutangazwa na Tume Mby