Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
ni kweli kabisa
unampenda x but x hakupendi...unaishia tu kula kwa macho maana hamuwezi kuwa pamoja
unampenda y na y anakupenda...unaishi na love ya y but love ya x ipo pale pale but hii ni immposible in action! sio kila unachokipenda lazima ukipate jamani...
unampenda x but x hakupendi...unaishia tu kula kwa macho maana hamuwezi kuwa pamoja
unampenda y na y anakupenda...unaishi na love ya y but love ya x ipo pale pale but hii ni immposible in action! sio kila unachokipenda lazima ukipate jamani...