Muda mfupi uliopita katangazwa kuwa mshindi na kuweza kukitetea kiti chake.
Idadi ya kura itafuata
kino
Jamaa hafai na biashara zake haramu. Anatumia hela haramu kuchafua siasa. Ila chadema jizatiti mwaka 2015 kuteka Dar yote. Nionavyo mimi inawezekana.
katuongezea wadada poa.....bei imeshuka kwa sasa....big up idiImeniuma kweli aisee.
Jamaa hakuna chochote alichokifanya term iliyopita.