Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Huku mikoani kwetu 50 mil unajenga nyumba nzuri tu tena ya kisasa.
Mim nawaza itakuwa nyumba ya aina gani kwa hyo 50mil
Huku mikoani kwetu 50 mil unajenga nyumba nzuri tu tena ya kisasa.
Hapo hawajatoa 10% ya aliyewaletea dili na wakitafakari mambo yalivyo magumu kwenye tasnia huku wakiwa na changamoto kibao na madeni hawakutaka kufikiria hata mara mbili na zaidi akili zao zote zililenga kuongeza magari mapya ni D waweke heshima mtaani
Momentum iko pale pale tena imeongezeka na sasa hivi kampeni chini kwa chini
UKAWA tusisahau akina mama ambao ni kundi kubwa.Wengi hawajasoma na wanapenda sana bongo movie na wala wao huwa hawatafakari kwa kina.So wasipopanga mpango madhubuti jinsi ya kuteka fikra za hao kina mama na wanawake itakua shida 25/october.
Penye kadhia penyeza rupia....
Leo nimezungumza na waziri mmoja kijana sitomtaja jina maana anajua mi niko chama chake na mimi ni mchangiaji mzuri .
Ni kweli wamelipwa million 50 kila mmoja na ilo deal la ushawishi lilifanywa na Wema na Steve.
Lakini hiyo pesa si kujitoa tu Ukawa bali pia ni mkataba wa kuifanyia kampeni ccm pia.Si kutoka tu.
Kampeni zitakuwa kwenye mitandao ya kijamii,kwenye vyombo vya habari na majukwaa huo ndio mkataba ulivyo.
Na chanzo kinasema walivyotajiwa million 50 wala hawakutafakari mara 2 moja kwa moja walikubali maana wanasema sanaa nayo inazingua sasa sio kama alivyokuwa Kanumba walikuwa wanapata pesa na.mwamko ulikuwa mkubwa wa watu kununua kazi zao,sasa hivi watu eti wameacha kununua wanakodi vibandani na kubani.
Chanzo pia kinasema wamejaribu kumshawishi jackline lakin imeshindikana kabisa.
Ni hayo
na tutaendelea kutoa hela kadri tuwezavyo,nyie wavuta bangi shida sana kunya anye kuku,akinya bata.........jiandaeni na hoja ya kuibiwa kura sasa
Ni hela ndogo sana mkuu,,haichukui mda kwisha,,bora hata wangebargain.
Million 50 hela..!!!??? Acheni masihara nyie..
Tukubali ukweli kuwa momentum ya upinzani imepungua baada ya kukaribisha makapi kuongoza jahazi..ile ilikuwa ni gross miscalculations!!
Eti leo tumefikia stage kuwa Upinzani wanapata kigugumizi kutamka neno "fisadi"! Ni dhahiri kuwa 4U Movement wamechukua uskani na kuweka M4C kiti cha abiria. Na hii itaendelea hata ikitokea chadema imeshinda...tutarudi kulekule.
Nawasihi mfanye maamuzi sahihi
Tukubali ukweli kuwa momentum ya upinzani imepungua baada ya kukaribisha makapi kuongoza jahazi..ile ilikuwa ni gross miscalculations!!
Eti leo tumefikia stage kuwa Upinzani wanapata kigugumizi kutamka neno "fisadi"! Ni dhahiri kuwa 4U Movement wamechukua uskani na kuweka M4C kiti cha abiria. Na hii itaendelea hata ikitokea chadema imeshinda...tutarudi kulekule.
Nawasihi mfanye maamuzi sahihi