Elections 2010 CONFIRMED: Getrude Mongela aanguka Ukerewe

Mongoiwe

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
524
263
Matokeo niliyopata kutoka kwa watu wa karibu CCM huko Ukerewe Gerturde Mongela ameangushwa na Salvatory Machemli wa Chadema
 
Jamani basi tupeni data, maana tusije shangilia wakati mda bado. tumeshajiandaa kwa pilau na madikodiko kibao, maana tanzania ya kweli inakuja!
 
Jamani za kweli hizi ? maana hawakawii kusema kuna kura toka kisiwa fulani zilikuwa hazijafika na Mama akawa kidedea, yaliwahi kutokea enzi za Msekwa (nasikia kuna visiwa vingi vina watu wachache ila kura zao zinakawia kufika na zikija ni nyingi kuliko wapiga kura!)
 
bado tunawekana roho juu jamani?me nataka full matokeo haaaaa,but its so nice hope iwe hivo mda wote
 
it is too glaring obvious to ignore.........huko Ukerewe hakuna alichokifanya Mehshmiwa huyu over years of being entrusted in positions of power............
 
Nipo hapa Ukerewe kwa sasa na habari za uhakika kabisa ni kuwa MONGERA G wa CCM kaangukia pua na tayari amekimbizwa hospital kwa huduma ya kwanza. CHADEMA wameshinda kwa asilimia 66% ubunge na Madiwani kibao
 
Wawe wanajua kusoma alama za nyakati sio kila siku ni Jumapili:nono::nono::nono::yield::yield:
 
Really? Was in Ukerewe in 2009 na watu pale maskini wakati huyu mama kashusha mjengo wa nguvu. sasa kama aliwasahau juu yake
 
Ndugu zangu wakerewe nawapongezeni sana na hatumuhitaji huyu mama na alishatutukana sisi wanaume wa ukerewe kwamba abhaseza nabhakunamile...............Ukerewe needs changes........Machemuli Go go go go................:israel:Chadema wera wera
 
Back
Top Bottom