Confirmed: EX bf/gf, mwizi wa mke/mme, mchumba/mpenzi wako ni rafiki yake wa facebook

Rekebisha kwanza signature yako, umeikosea: "Kushindwa kuelezea mwanzo haina maana nikubali kuna fisi mwenye mikia saba aliyeumba sungura wote duniani" -Introvert


Hiyo ndiyo maana yake halisi, au una matatizo ya macho?
 
kaka wakati nasoma hii topic hata kabla sijaimaliza nilijua tu wanawake wangekupinga although it's a sad truth, it really wat is happenin siku hizi,

the only solution is not to trust anyone na kutumia kinga in every act, hata denda i dnt advice tena into this age and era, midomo ya watu haifai tena its either imenyonya too many d!cks or too many pu$$ies
 
kaka wakati nasoma hii topic hata kabla sijaimaliza nilijua tu wanawake wangekupinga although it's a sad truth, it really wat is happenin siku hizi,

the only solution is not to trust anyone na kutumia kinga in every act, hata denda i dnt advice tena into this age and era, midomo ya watu haifai tena its either imenyonya too many d!cks or too many pu$$ies

Kweli kabisa mkuu. Siku hizi mie hata kupeana mikono na watu nimestop, nasalimiana huku nikiwa nimeikunja. Cha ajabu wanaopinga hapa wanaonekana ni wanaume, nadhani ni yale maumivu wanayoyapata.
 
mmh.mm hayo ma FB,twiter na mengineyo cyataki kabisaa.nabaki JF tu naona cna mazoea ya kijinga na watu wanajiheshimu na wako matured.
 
Tukio la pili:

Mdada mmoja aliniomba nimfungulie fb account kwa kutumia PC yangu, alidai anatumia simu na kila alipofikia hatua ya mwisho ya kufungua account alikuwa anaambiwa aingize verification code fulani, na kila alipoiingiza iligoma. Nikamfungulia na kumpa temporary password, nilimwambia abadilishe during the first login. Miezi kama minne baadaye sijui nilikuwa na wazimu gani, nikajaribu kulogin:

Relationship status: Engaged to Mentor

Wall posts: "I love u so much Mentor, etc.,"

Chat msgs na chat history:

To facebook user 3: "U fucck me gud, mchumba wangu nimempend, nimemwambia mpaka tufunge ndoa, of course lazima asotee kwanza"

To facebook user 4: "Unajifanya siku hizi hunifeel, lakini wa kunikojolesha mbona wapo wengi tu"

"Nimemwambia my hubby kwamba naenda kwa bibi kumsalimia na kumweleza nimepata mchumba, amefurahije, but please nakuja, nataka unittombe, unajua nitakuwa kwenye kifungo muda si mrefu, sijui tutakuwa tunakutanaje"

Halafu facebook user 5 ambaye ndiye anamwiba msichana wa mtu analike comments na wall posts za msichana na kumsifia kwa kwenda mbele.

Mdada anayehusika na hapo juu, anaonekana decent, halafu ni mfanyakazi katika wizara ya maliasili na utalii.
Simplicity mdogo wangu sina shida na threads zako kwa kweli. Ila sasa lazima uwe unazingatia mifano unayoitoa na watu unaowatolea mfano. Nafahamu fika kuwa ni mifano tu na hukuwa na wazo lingine.

Nilikuambia wiki iliyopita kuwa hapa ndani nina mchumba mwallu na mwakani tutafunga ndoa. Kwa sababu hii naomba unisaidie kutoniweka kwenye baadhi ya mifano.

Kama unaona ni thread tu nzuri na ungependa kaka yako nipite niisome, basi ni-mention tu hapo chini hakutakuwa na shida.

Wasalaam, Mentor.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha wanawake wa siku hizi kwa sababu ya ujio wa social networks wana wanaume wengi kushinda hata wanaume,hiyo ni research ambayo imewahi kufanyika brazil so you are right
 
Simplicity una uhakika?
mbona wawapa presha binadamu wenzio? uliyoyasema ni sahihi kwa asilimia flani...si wote yanawatokea hayo bana

na mfano wa Mentor hapo haujafit bana..ebu pachika mwingine...kama Asprin ivi au Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Simplicity mdogo wangu sina shida na threads zako kwa kweli. Ila sasa lazima uwe unazingatia mifano unayoitoa na watu unaowatolea mfano. Nafahamu fika kuwa ni mifano tu na hukuwa na wazo lingine.

Nilikuambia wiki iliyopita kuwa hapa ndani nina mchumba mwallu na mwakani tutafunga ndoa. Kwa sababu hii naomba unisaidie kutoniweka kwenye baadhi ya mifano.

Kama unaona ni thread tu nzuri na ungependa kaka yako nipite niisome, basi ni-mention tu hapo chini hakutakuwa na shida.

Wasalaam, Mentor.
Mento Mentor!

Hivi umetuambia kaka zako mimi Asprin Dark City sungura1980 mwekundu Arushaone na wengineo kwamba mwallu ni mchumbako au bado mnaibiana kibaba na mama?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom