Elections 2010 CONFIRMED: Dodoma mjini CCM washinda kwa kishindo!!

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Matokeo ya Ubunge

CCM 52,253
CHADEMA 15,806
CUF 1603

Kata 3 CHADEMA CCM kata 34, duh kazi ipo kwa kweli anyways upinzani tumetoa
 
Kila kitu kina mwanzo hawa madiwani watatu wataleta chachu ya mageuzi idodomya
 
Kwa Dodoma haya yalitegemewa, si ndio Chimwaga inapatikana huko pale makao makuu yao.
 
What did you expect? Dodoma, wagogo ni wapumbavu sana!!! Umasikini umewaandama lakini bado wanaikumbatiia CCM!!!

Anyways, hata hizo kata tau zitaleta chahu!!!
 
Dodoma ni nyumbani kwangu ila hawa ndugu zangu hawana upeo hata kidogo,
Wagogo hakuna kitu aiseee
wanaboa sana na hawabadiliki kabisa,next time chadema waweke kambi dodoma kuwapa somo hao washamba.
 
kiwango cha uelewa kwa watu wa dodoma ni sawa na kifaranga cha kuku, tumehamishia makao makuu ya nchi yetu siku nyingi lakini watendaji wa serikali wako dsm, wao hawajui athari za kutokutekeleza maamuzi ya kuhamishia shughuli serikali makao makuu halali kunawagharimu umasikini wa kutisha.
Matokeo ya Ubunge

CCM 52,253
CHADEMA 15,806
CUF 1603

Kata 3 CHADEMA CCM kata 34, duh kazi ipo kwa kweli anyways upinzani tumetoa
 
What did you expect? Dodoma, wagogo ni wapumbavu sana!!! Umasikini umewaandama lakini bado wanaikumbatiia CCM!!!

Anyways, hata hizo kata tau zitaleta chahu!!!


This is blog and is used by all people civilized and non civilized people like u, how comes u call wagogo wapumbavu?? i think everybody has the right to vote so u " be careful don't use abusive language"
 
Back
Top Bottom