Baada ya kucheleweshwa kwa muda mrefu kutolewa kwa matokeo ya ubunge jimbo la Songea mjini,hatimaye Dk.Nchimbi atangazwa.
Sina uhakika kama kura hazikuchakachuliwa kama sehemu nyingine.
Ivi inaingia akilini watu wachague Mbunge CCM alafu kata CHADEMA naona ata hesabu zinawashinda wazee wa kuchakachua
Watu kama wewe PEDE ndio mnadhalilisha taaluma za watu; huyu unaemwita "DR" hana heshima hiyo na wewe nadhani mpaka sasa unajua hivyo kwani amechakachua vyeti vyake vya elimu, hivyo nawe kuendelea kumwita hivyo unajidhalilisha kwani itaonekana kama ni mtu wa kujipendekeza, hiyo ikiwa sio sifa nzuri!!