Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
muda mfupi msimamizi wa uchaguzi jimboni humo Bw Zuber Mbyana amemtangaza Dk Antony Mbasa wa CHADEMA kuwa mshindi kwa kupata kura 20828 dhidi ya 19843 za Oskar Mkasa wa CCM.
Pia habari kutoka jimbo la Bukoba Vijijini Bw Jasson Rweikiza(CCM) ametangazwa rasmi kwa kupata kura zaidi ya 57,000 dhidi ya kura pungufu ya 5500 za Alstides Ndibalema wa CHADEMA
Pia habari kutoka jimbo la Bukoba Vijijini Bw Jasson Rweikiza(CCM) ametangazwa rasmi kwa kupata kura zaidi ya 57,000 dhidi ya kura pungufu ya 5500 za Alstides Ndibalema wa CHADEMA