Elections 2010 CONFIRMED: CHADEMA wanyakua jimbo la Ilemela

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Jimbo la Ilemela nalo limeenda CHADEMA.

Kura HALISI:


CCM: 26,870
CHADEMA: 31,000+
 
Source star tv

ccm 26870

chadema 31 na

jumla ya wapiga kura =175938
 
Habari ndo hiyo...kampita dialo kwa mbali..Live toka star TV
 
ubunge ccm-26570
chadema-31....
source star tv:israel:
 
It is confirmed kwamba chadema imeshinda ilemela wa chadema kapata 31000 na ccm 26000

naangalia star tv wanaonekana wanyonge

chadema hoyeeeeeeeeee ilemelaaaaaaaa
 
WAOOO GUD NEWS,kweli mwanza mumenifurahisha sana,hakuna lisilowezekana haawa washenzi wameshindwa safi saaana.
 
Antony dialo chali, na hata watangazaji wake wamepugwa na bumbuwazi
 
Diallo, pole bana, tunakutoa madarakani kwenye ngazi ya Ubunge ili ukajisomee usafishee vile vyeti vyako ulivyofoji.
 
Back
Top Bottom