Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
i guess awamu hii tumeshuhudia wanasiasa wengi wakihamia CCM,
Hii ime create atmosphere fulani ya confusion,..
i mean..
Kwa wanasiasa wa upinzani,.....
wa zamani kutokujua hatma yao,
na wanasiasa wapya, kuwa na uoga wa ku contest against CCM,
Sasa nimeandika hii topic tushauriane confidence stratergies kuwapa wanawake wa upinzani confidence kugombea cheo chochote...
Yes wanawake upinzani sababu wao wako underrepresented kwenye serikali
opposite na hapo, ni wanawake na wanaume wote ni CCM kuwa ndio serikali kuu...
Madhara yake ni kuwa na serikali inayojiamulia chochote...
We need conflicting views ndani bunge...
Kama tunahitaji conflicting views ndani ya bunge, ambayo itaichagiza serikali kuwa at best
then,
we must accept people from different backgrounds than CCM...Chadema, ACT etc...
viongozi wa vyama vya upinzani, jaribuni ku identify mtu potential....ambae unaona atakua ama tayari yuko influential,then mu identify wapi mwanamke huyu anakwama, confidence issues?? presentation skills etc..then mumcoach…..
Nyingine tujazilizie wana JF
i guess awamu hii tumeshuhudia wanasiasa wengi wakihamia CCM,
Hii ime create atmosphere fulani ya confusion,..
i mean..
Kwa wanasiasa wa upinzani,.....
wa zamani kutokujua hatma yao,
na wanasiasa wapya, kuwa na uoga wa ku contest against CCM,
Sasa nimeandika hii topic tushauriane confidence stratergies kuwapa wanawake wa upinzani confidence kugombea cheo chochote...
Yes wanawake upinzani sababu wao wako underrepresented kwenye serikali
opposite na hapo, ni wanawake na wanaume wote ni CCM kuwa ndio serikali kuu...
Madhara yake ni kuwa na serikali inayojiamulia chochote...
We need conflicting views ndani bunge...
Kama tunahitaji conflicting views ndani ya bunge, ambayo itaichagiza serikali kuwa at best
then,
we must accept people from different backgrounds than CCM...Chadema, ACT etc...
viongozi wa vyama vya upinzani, jaribuni ku identify mtu potential....ambae unaona atakua ama tayari yuko influential,then mu identify wapi mwanamke huyu anakwama, confidence issues?? presentation skills etc..then mumcoach…..
Nyingine tujazilizie wana JF