Confessions of an Economic Hitman & Tanzania

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Kuna watu humu wamekuwa wanaingangania niwape kuhusu DFID au shirika la maendeleo la Uingereza Tanzania. Well.. kuna mengi ya kusema na naweza kuwaambia kuwa DFID inatutia umasikini sana pale Tanzania na baadhi yenu mnalijua hili lakini nimeona bora tuanzie hapa. Mind you this content may be old but it still holds considerable importance. Nishakisoma hiki kitabu lakini kwa wale ambao hamja kisoma nashauri mtazame hii video.

Kutokana na event zinazoendelea Tanzania sasa hivi I wouldnt be surprised kuwa kuna watu wamekuwa held ransom na hawa jamaa



confessions-of-an-economic-hitman.jpg







Part I
http://www.youtube.com/watch?v=yTbdnNgqfs8

Part II

http://www.youtube.com/watch?v=29GhXsx7-Rs






 
..game,

..dfid inahusika vipi?

..kuna any big project walio-help to get through ambayo inatuchosha hivi sasa?

..shusha data zaidi!
 
GT,

Swali zuri sana. Unajua wakati ule tunasamehewa madeni, mimi nilikua nauliza, what is behind that offer? Watu wengi sana niliona kwenye forum za kitanzania wakijisifia kufutiwa madeni.....Ukweli, hayo madeni kufutwa yana masharti yake. Yapi? Hapo sijui, lakini kila kitu kinachotokea Tanzania mmh. Watu hawasiani mikataba ovyo bila kuwa na economic hitmen.

Halafu mimi bado najiuliza, nini kimetokea tangu 1985 mpaka hapa tulipo. Watu waliokula chumvi either hawana data, hawataki kusema au hawajui.........

Hiyo Conf of Econ Hitman, one of the best book ever. Tatizo nchi za kiaafrika hazijaguswa/ongelewa katika kitabu.....baada ya miaka 10, kitatoka kingine kuhusu Africa.
 
Ukisoma hii story utapata kuona jinsi hao watu wanafanyakazi so its real. Muda unavyozidi kwenda China inaweka pressure kwa westerners nao wanareveal maovu, tusubiri tuone


A
new "scramble for Africa" is taking place among the world's big powers, who are tapping into the continent for its oil and diamonds.

Tony Blair is pushing hard for African debt relief agreements in the run-up to the G8 summit in Scotland in July. But while sub-Saharan Africa is the object of the west's charitable concern, billions of pounds' worth of natural resources are being removed from it.
A Guardian investigation beginning today reveals that instead of enriching often debt-ridden countries, some big corporations are accused by campaigners of facilitating corruption and provoking instability - so much so that organisations such as Friends of the Earth talk of an "oil curse".
Simon Taylor, director of Global Witness, which has been prominent in urging reform, said: "Western companies and banks have colluded in stripping Africa's resources. We need to track revenues from oil, mining and logging into national budgets to make sure that the money isn't siphoned off by corrupt officials."
Looting of state assets by corrupt leaders should become a crime under international law, he said.
"The G8 should take the lead in this."
The original Scramble for Africa took place in the late 19th century, when Britain, France and Germany competed to carve Africa into colonies.
Today corporations from the US, France, Britain and China are competing to profit from the rulers of often chaotic and corrupt regimes.
Our investigations in three African countries rich in resources - Angola, Equatorial Guinea and Liberia - show how British-based companies have negotiated deals that critics say are against the interests of some of the poorest and most traumatised people on earth.
The Guardian's inquiries focus on a big gas project in Equatorial Guinea; plans to exploit Liberia's diamonds, and western banks' readiness to provide Angola with huge oil-backed loans.
In Equatorial Guinea, BG plc (formerly the British Gas state company) has closed a deal with the regime of President Teodoro Obiang to buy up the country's production of liquefied natural gas for the next 17 years.
Britain's HSBC bank has been accused by a US Senate committee of helping Mr Obiang move cash from the country's oil revenues into financial "black holes" in Luxembourg and Cyprus. The country is threatened with repeated coups by outsiders keen to get their hands on the oil wealth.
In Liberia, which has been beset by civil war, LIB, a private London bank, was behind attempts to monopolise alluvial diamond production and the country's telecommunications. The UN and the World Bank have criticised the schemes as secretive and against the country's interests. LIB has now withdrawn.
And in Angola, the victim of an even more destructive internal war, one of the UK's leading development banks, Standard Chartered, has been accused of damaging the country's economy by providing record multibillion dollar loans which give a stranglehold over future oil production.
A succession of scandals has already revealed how oil wealth was looted in billions from the former Abacha military regime in Nigeria with the assistance of western banks and bribes paid by US oil firms.
In Sudan and Chad, Chinese companies are moving in, backing and arming military rulers and building pipelines.
And in France, the then state oil company Elf has been accused in corruption investigations of having paid kickbacks and encouraged regimes to run up debts as part of a deliberate "African strategy".
Congo-Brazzaville, the fourth-largest sub-Saharan oil producer, was dominated by Elf, and now has the highest per capita debt in the world.
Global Witness says in a 2004 report: "Oil wealth [there] has left a legacy of corruption, poverty and conflict."
The British government is pushing an international plan for disclosure by companies of how much they pay African rulers for their natural resources. The Extractive Industries Transparency Initiative has been praised by anti-corruption bodies.
But campaigners say that on present evidence improvements in western behaviour so far appear slight. And they fear the chances of these issues being raised as priorities at the G8 summit at Gleneagles in July remain bleak as EU countries quibble about levels of aid and the US balks at innovative schemes for debt relief. Gareth Thomas, the international development minister, said Britain hoped to have 20 African countries signed up to the transparency code by the end of the year. "There is big political support for this programme and we will be addressing the issue in the G8 summit communique," he said.
 
Kwa amabo hawajaiona hiyo video nawashauri............waiangalie......its very interesting and educative on number of issues about our National Economy and Security na jinsi Mafisadi "Vijisenti" wanavyoshirikiana na mashirika makubwa ya Dunia
 
Kwa amabo hawajaiona hiyo video nawashauri............waiangalie......its very interesting and educative on number of issues about our National Economy and Security na jinsi Mafisadi "Vijisenti" wanavyoshirikiana na mashirika makubwa ya Dunia

Badala ya kutu-direct kuangalia hizo video, naomba discussion. Kama tuko na Kitabu cha Confession of an EHM basi naomba tuanze hiyo discussion.
Niliisoma kitabu hiki zamani lakini najaribu kuisoma upya alafu naomba tuanze mjadala.
BTW, mnaona mtanzania yupi anaweza akawa ni EHM na wale wa ughaibuni kuna mtu mnamwona anaelekea.
I think that hao EHM si wengi sana hapa kwetu au wamejificha vizuri.
Mtu ambaye nina uhakika ni EHM ni Andy Young, hapo hakuna ubishi. Mi yangu macho tu na hii Sullivan summit na akina Masters and AY! They are really 'hitting' us
 
Ogah,

Mimi niliyajua haya miaka 10 iliyopita...As a fact kuna vitabu vingi sana vimeandikwa kuhusiana na hali hii isipokuwa tulishindwa kuamini ama kufuatilia kwa sababu hakuna Ushahidi.. Na kibaya zaidi kati yetu kuna Manyapala kama hao kina The truth ambao ndio viongozi wenye elimu na imani za kufungiwa..
Tatizo kubwa la mtu mweusi ni madai ya Ushahidi!.. hapa tunashindwa kuelewa kwamba Ushahidi hauwezi kuwepo hadi siku wamekwisha kamata nguzo hizo za Kiuchumi na hatuna la kufanya Kisheria. Ukimwambia Mdanganyika mtu fulani ana Ukimwi basi ni lazima umwambie kesha muua nani?...laa sivyo utaitwa mwongo na watakukimbia. Hivi kujitahadhali na mtu huyo kuna kosa gani?..Je, kumwita mtu ana Ukimwi ni tusi maanake hawa wazungu kuitwa exploiter huonyesha kana kwamba tunawasingizia, tusi kubwa na halina ukweli...
Ni hulka ya Utumwa kutoamini maneno kama mababu zetu walivyopakiwa ktk meli wakipelekwa utumwani walidhani wanapelekwa peponi na kibaya zaidi hapakuwepo na Ushahidi kwani kila aliyechukuliwa hakurudi alikotoka!..
 
Ulaya nzima wana hoja tu kutunyonya, wanatujua vema kuwa sisi waafrica ni wachovu, leo utasikia wametusamehe madeni, kesho tumepewa msaada, ila cha msingi Waafrica tujiulize hebu hawa bwana zetu wakigoma kutusaidia itakueje? Ama siku wakisema wanataka watugeuze nyuma ndipo watusaidie tutakubali? Hebu sisi tuna akili kweli?
 
BTW, mnaona mtanzania yupi anaweza akawa ni EHM na wale wa ughaibuni kuna mtu mnamwona anaelekea.
I think that hao EHM si wengi sana hapa kwetu au wamejificha vizuri.
Mtu ambaye nina uhakika ni EHM ni Andy Young, hapo hakuna ubishi. Mi yangu macho tu na hii Sullivan summit na akina Masters and AY! They are really 'hitting' us

..yawezekana!

..ila,case iliyozungumziwa katika confessions ni tafauti ya kwetu huku! hebu tutazame barrick & co. and the price of gold currently!

..hiyo ni case moja! ipo mifano kadhaa ambayo unaweza iweka,ila,inatafautiana na kile kilichokuwa kinafanyika huko latin america and asia. nyakati zimetafautiana so hata modus operandi inawezakuwa tofauti!
 
Mwafrika kwa kukisia nje ya nguo zake hatujambo yaani kweli mnaamini hakuna dalili za vibaraka wa EHM Tanzania?..
Basi nasema tena kama nilivyosema miaka ya nyuma kule Bcstimes....Mkapa ni namba moja!
 
Basi nasema tena kama nilivyosema miaka ya nyuma kule Bcstimes....Mkapa ni namba moja!

..mkuu,

..tusichanganye mambo,unless tunataka ku-define ehm kwa case yetu inamaanisha mtu yupi.

..mkapa hana tafauti na suharto! ina maana nae suharto alikuwa ehm?
 
Inaelekea ukoloni umerudi; tena mawakala wao ni ndugu zetu wenyewe. Vita dhidi ya mafisadi itakuwa ngumu kuliko waasisi wa Taifa letu walivyomung'oa mkoloni.
tanzania.jpg

Zamani tulifundishwa historia shule za Msingi (nadhani ilikuwa darasa la 7); wakieleza jinsi Sultani Mangungo wa Msovero alivyouza nchi yake kwa Carl Peters wa Ujerumani; kwa taarifa zenu wakati wa utawala wa 'Mr. Clean' syllabus ilibadilishwa na somo la historia likafutwa!

Confessions of an Economic Hit Man

Confessions of an Economic Hit Man (ISBN 0-452-28708-1) is a book written by John Perkins and published in 2004. It tells the story of his career with consulting firm Chas. T. Main. Before employment with the firm, he interviewed for a job with the National Security Agency (NSA). Perkins claims that this interview effectively constituted an independent screening which led to his subsequent hiring by Einar Greve, a member of the firm (and alleged NSA liaison) to become a self-described "Economic Hit Man."

According to his book, Perkins' function was to convince the political and financial leadership of underdeveloped countries to accept enormous development loans from institutions like the World Bank and USAID. Saddled with huge debts they could not hope to pay, these countries were forced to acquiesce to political pressure from the United States on a variety of issues. Perkins argues in his book that developing nations were effectively neutralized politically, had their wealth gaps driven wider and economies crippled in the long run. In this capacity Perkins recounts his meetings with some prominent individuals, including Graham Greene and Omar Torrijos. Perkins describes the role of an EHM as follows:

Economic hit men (EHMs) are highly paid professionals who cheat countries around the globe out of trillions of dollars. They funnel money from the World Bank, the U.S. Agency for International Development (USAID), and other foreign "aid" organizations into the coffers of huge corporations and the pockets of a few wealthy families who control the planet's natural resources. Their tools included fraudulent financial reports, rigged elections, payoffs, extortion, sex, and murder. They play a game as old as empire, but one that has taken on new and terrifying dimensions during this time of globalization.

The epilogue to the 2006 edition provides a rebuttal to the current move by the G8 nations to forgive Third World debt. Perkins charges that the proposed conditionalities for this debt forgiveness require countries to sell their health, education, electric, water and other public services to corporations. Those countries would also have to discontinue subsidies and trade restrictions that support local business, but accept the continued subsidization of certain G8 businesses by the US and other G8 countries, and the erection of trade barriers on imports that threaten G8 industries. Recent events in Bolivia and Tanzania are cited as examples of the effects of these proposed conditionalities.

From: Wikipedia, the free encyclopedia
 
Dar si Lamu,
Ukisoma mada hii http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12611
kisha ukatazama haya yaliyosemwa humu nadhani jibu rahisi kabisa ama unataka ushahidi maanake Wabongo bila ushahidi hawawezi amini isipokuwa uwezo wa Mungu...which by definiton It's too late!

..nafikiri tunaongelea ehm as kwenye kitabu chenyewe,kama mjadala ulivyo-evolve post chache zilizopita.

..i'm on point!
 
Sultani Mangungo wa Msovero alivyouza nchi yake kwa Carl Peters wa Ujerumani; kwa taarifa zenu wakati wa utawala wa 'Mr. Clean' syllabus ilibadilishwa na somo la historia likafutwa!

..kwa ufupi,unasema tuna historia ya kuuza nchi!

..kweli ukitaka kujua umefikaje sehemu leo na kesho utaenda wapi,angalia ulikotoka;soma historia!
 
Dar si Lamu,

nafikiri tunaongelea ehm as kwenye kitabu chenyewe,kama mjadala ulivyo-evolve post chache zilizopita.

..i'm on point!
Hakuna mahala nimesema haupo on point!
Umesema nachanganya, nachochanganya ni kipi! nipe elimu mkuu..nipo kujifunza.
Kumbuka tu maneno ya Nyani Ngabu kabla hujafikia maamuzi yako.
 
Dar si Lamu,


Hakuna mahala nimesema haupo on point!
Umesema nachanganya, nachochanganya ni kipi! nipe elimu mkuu..nipo kujifunza.
Kumbuka tu maneno ya Nyani Ngabu kabla hujafikia maamuzi yako.

..usiwe na haraka;no hurry in africa!

..baada ya muda utaelewa ninachomaanisha. mi nshakuelewa tayari.

..tuendelee kukata issue!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom