Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 816
Kuna watu humu wamekuwa wanaingangania niwape kuhusu DFID au shirika la maendeleo la Uingereza Tanzania. Well.. kuna mengi ya kusema na naweza kuwaambia kuwa DFID inatutia umasikini sana pale Tanzania na baadhi yenu mnalijua hili lakini nimeona bora tuanzie hapa. Mind you this content may be old but it still holds considerable importance. Nishakisoma hiki kitabu lakini kwa wale ambao hamja kisoma nashauri mtazame hii video.
Kutokana na event zinazoendelea Tanzania sasa hivi I wouldnt be surprised kuwa kuna watu wamekuwa held ransom na hawa jamaa
Part I
http://www.youtube.com/watch?v=yTbdnNgqfs8
Part II
http://www.youtube.com/watch?v=29GhXsx7-Rs
Kutokana na event zinazoendelea Tanzania sasa hivi I wouldnt be surprised kuwa kuna watu wamekuwa held ransom na hawa jamaa

Part I
http://www.youtube.com/watch?v=yTbdnNgqfs8
Part II
http://www.youtube.com/watch?v=29GhXsx7-Rs