Papaa Mutombo
Senior Member
- Jul 16, 2018
- 166
- 232
Wakuu,
Naomba kufahamishwa madhara ya kutokuoga. Maana sasa naingia mwezi wa 2, huwa nanawa uso tuu. Mswaki wenyewe napiga nikiona meno yamebadilika rangi. Wakati mwingine nikilala nasema kesho kwakweli lazima nioge, nikiamka nikapigwa ka upeopo nahisi baridi, na kujisemea siwezi kujitesa na maji ya baridi wakati natakiwa niwahi ofisini.
Kuvaa navaa smart balaa, ni mwendo wa cardet au jinsi na koti...saluni naenda, na mambo mengine ni kama kawa. Sioni chochote kwenye ngozi, yaani niko frsh tu ila huwa nikijipikicha ngozi/kujisugua natoka ukurutu kwa mbali...huwa nafanya nikiwa peke yangu, then hapo ninajiapiza kuwa nikirudi home lazima nioge..
Lakini nikifika siogiiii. Niffanyeje jamani
NB: chupi na nguo huwa ni safi mda wote..pia sinuki mdomo, natumia mints kwa wingi
Naomba kufahamishwa madhara ya kutokuoga. Maana sasa naingia mwezi wa 2, huwa nanawa uso tuu. Mswaki wenyewe napiga nikiona meno yamebadilika rangi. Wakati mwingine nikilala nasema kesho kwakweli lazima nioge, nikiamka nikapigwa ka upeopo nahisi baridi, na kujisemea siwezi kujitesa na maji ya baridi wakati natakiwa niwahi ofisini.
Kuvaa navaa smart balaa, ni mwendo wa cardet au jinsi na koti...saluni naenda, na mambo mengine ni kama kawa. Sioni chochote kwenye ngozi, yaani niko frsh tu ila huwa nikijipikicha ngozi/kujisugua natoka ukurutu kwa mbali...huwa nafanya nikiwa peke yangu, then hapo ninajiapiza kuwa nikirudi home lazima nioge..
Lakini nikifika siogiiii. Niffanyeje jamani
NB: chupi na nguo huwa ni safi mda wote..pia sinuki mdomo, natumia mints kwa wingi
Last edited: