hivi kweli kuna ladha yoyote inapatikana mwanamke anapovaa condom mie sijaona utamu wowote bali ni kama nimevaa sox oversize au wanajamii munaonaje hapo
Conquest
utajiri wetu ni watoto sio kingine ila naona ukivaa condom utamu unasusua
conquest
Hivyo vitu mara nyingi hutumika na watu wanaotembea nje ya ndoa zao! Kame umeoa/kuolewa condom ya nini?utajiri wetu ni watoto sio kingine ila naona ukivaa condom utamu unasusua
conquest
Hivyo vitu mara nyingi hutumika na watu wanaotembea nje ya ndoa zao! Kame umeoa/kuolewa condom ya nini?
...kwakuwa ni mkeo stahmili, au wewe vaa ya kiume.
Lengo linabakia starehe 'kiduchu' huku mkijihadhari na uzazi usio na mpangilio, au sio bro?