Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Katika pitapita zangu nimekuta watu wengi waki discourage Matumizi ya condom yaani they say its useless na wala haisaidii katika protection ya Maradhi.
Wanasema zingine Huja hata zikiwa na viini vya Magonjwa Vimepandikizwa Mle, basi wakaenda mbali zaidi wakidai condom haizuii Ukimwi yaani VVU.
Nilijikuta nawaonea Huruma sana Maana Nikikumbuka Miaka Kadhaa ilopita Niliwahi kupita na wanawake kama wa 3 ambao baadae nilijua kwamba ni confirmed positive bahati nzuri nilitumia kinga na kila nikikumbuka sichukulii Picha Ningecheza Peku yaani ungekuta ndo habari yangu imeisha.
MY TAKE: Ndugu zangu Japo Hatujawahi kuonana ila Naamini Ninyi ni binadamu kama wengine, Jamani chonde chonde tumieni condom inasaidia sana, msipotoshwe na nyuzi za hapa JF zinazodiscourage matumizi ya Kinga...wengine wameenda Mbali wakidai hazisaidii.
Kaka yenu nawashauri tenaa UKIMWI upo na Condom inazuia, Tafadhali tumieni.
Never Sex without Condom na MwanamkeMwanaume ambae Hujui Status yake.
Wakusikia na Asikie!
Wanasema zingine Huja hata zikiwa na viini vya Magonjwa Vimepandikizwa Mle, basi wakaenda mbali zaidi wakidai condom haizuii Ukimwi yaani VVU.
Nilijikuta nawaonea Huruma sana Maana Nikikumbuka Miaka Kadhaa ilopita Niliwahi kupita na wanawake kama wa 3 ambao baadae nilijua kwamba ni confirmed positive bahati nzuri nilitumia kinga na kila nikikumbuka sichukulii Picha Ningecheza Peku yaani ungekuta ndo habari yangu imeisha.
MY TAKE: Ndugu zangu Japo Hatujawahi kuonana ila Naamini Ninyi ni binadamu kama wengine, Jamani chonde chonde tumieni condom inasaidia sana, msipotoshwe na nyuzi za hapa JF zinazodiscourage matumizi ya Kinga...wengine wameenda Mbali wakidai hazisaidii.
Kaka yenu nawashauri tenaa UKIMWI upo na Condom inazuia, Tafadhali tumieni.
Never Sex without Condom na MwanamkeMwanaume ambae Hujui Status yake.
Wakusikia na Asikie!