Habar za Muda wadau, nina computer yangu HP Pavilion, mwanzoni ilikuwa iko poa sana, Lakini sasa sielewi kabisa,
Nikiweka kwenye chaji basi inafanya kazi safi tu, Ila umeme ukakatika au nikitoa chaji basi inaaanza kuscratch na huwezi tena kuitumia, betri iko poa na inapiga mpaka saa moja na nusu.
Nisaidieni
Nikiweka kwenye chaji basi inafanya kazi safi tu, Ila umeme ukakatika au nikitoa chaji basi inaaanza kuscratch na huwezi tena kuitumia, betri iko poa na inapiga mpaka saa moja na nusu.
Nisaidieni