computer science & engineering

ypointer

Member
Nov 1, 2010
9
0
naomba msaada wenu wadau Kama nikisomea computer science & engineering kwa ngazi ya cheti je?naweza kupata ajira serikalini?
 
Y pointer ajira kwa serikalini tanzania ni finyu sana.kupata kazi kwa cheti unaweza lakini utaaajiriwa kama data entry operator au kazi kama hizo.

Tatizo la serikali ya tanzania bado haijawa na mgawanyo mzuri wa ajira za mambo ya computer. wenye Degree na Adv diploma wanaajiriwa kama Computer systems analyst.

Sidhani Kama serikali ya tanzania ina specific ajira kama za
Data base administrator
Network Administrator
Network Technician
Computer Technician

Kama unataka kufanya kazi serikali at minimum focus kwenye Advanced diploma.
 
utaanza na mshahara tgs d = 380,000/- omba mungu upangwe wilayani,dar utaadhirika.
 
Soma mwana unapata kazi tena ukiwa ndani ukitamani kupanda unaomba kuenda soma unalipiwa
 
utaanza na mshahara tgs d = 380,000/- omba mungu upangwe wilayani,dar utaadhirika.

Dah kumbe sasa ni 380,000. Ajira yangu ya kwanza ilikuwa serikalini na ilikuwa chini ya hapo na niliishi dar na sikuadhirika na sikuwa na ndugu.Usimsimtishe na kumkatisha tamaa.

Ajira zenyewe za kuchagua ziko wapi?

Ukweli ni kuwa kuadhirka labda uzeeni maana pension ya mshaara wa serikali ni ndogo
 
nafurahia ushauri coz niko kwenye msitari sawa na jamaa ingawa mie nafukuzia bachelor na next year nachukua by God's grace
 
Nakushauri fikiria upya. Kama huna credity za kujiunga na kozi yoyote zaidi ya certificate, soma hiyo hiyo coz na baada ya hapo jiunga na kozi ya juu. Sikushauri sana ukaanza kazi kwa certificate kwani unaweza ukaishia hapo , kumbuka tanzania bado hatupo ju sana katika mambo ya it kiasi kwamba unaweza kupata kazi na ukawa ndoo mwisho wa elimu yako. Swali langu ni hili kwanini umeamua kusoma hiyo kozi na si accounting ukafanya bank kuu??
 
At least uwe na Diploma. Lakini Bachelor recommended!
Naomba kufahamu wakuu,kwa mtu mwenye CCNA(Cisco Certified Network Associate) na
Bachelor Degree in Computer Science & Technology,ambaye ni fresh gradute,ana chance ghani ya kupata kazi hapo nyumbani bongo?

Thanks a lot kwa majibu,maoni au ushauri.
 
Naomba kufahamu wakuu,kwa mtu mwenye CCNA(Cisco Certified Network Associate) na
Bachelor Degree in Computer Science & Technology,ambaye ni fresh gradute,ana chance ghani ya kupata kazi hapo nyumbani bongo?

Thanks a lot kwa majibu,maoni au ushauri.

You should have been working by now...having those qualification...as naamini kuwa ukiwa chuo mwaka wa pili tu kama ni creative kwa unaanza kwanza kujiajili...labda kama umesoma too academic zaidi ya practical.Wakati nina miezi sita tu chuo...tayari coastal airways walikuwa wananitumia kwa ajiri ya kutengezeneza software za ku record ticket purchase...see.Ila ni chuo cha wahindi sasa....ambao wao wanafocus mtu ajiari zaidi kuliko kuajiliwa...huu ni mtizamo...kama unaweza fanya kujiari...kuwa commited kama vile umeajiriwa...for the first 6 month itakuwa ngumu..ila utafanikiwa..Pia Jikite kwenye Graphic design then hao wanao taka kukujairi unafanya part time tu.Na kiofisi chako kina run...naona ndio mlengo wangu.
 
You should have been working by now...having those qualification...as naamini kuwa ukiwa chuo mwaka wa pili tu kama ni creative kwa unaanza kwanza kujiajili...labda kama umesoma too academic zaidi ya practical.Wakati nina miezi sita tu chuo...tayari coastal airways walikuwa wananitumia kwa ajiri ya kutengezeneza software za ku record ticket purchase...see.Ila ni chuo cha wahindi sasa....ambao wao wanafocus mtu ajiari zaidi kuliko kuajiliwa...huu ni mtizamo...kama unaweza fanya kujiari...kuwa commited kama vile umeajiriwa...for the first 6 month itakuwa ngumu..ila utafanikiwa..Pia Jikite kwenye Graphic design then hao wanao taka kukujairi unafanya part time tu.Na kiofisi chako kina run...naona ndio mlengo wangu.
Thanks mkuu,your advice is noted with great appreciation!..
nikiwa mwaka wa pili nilishakuwa nafanya online business(ecommerce) na mpaka sasa nina 2 running online shops.Mazingira ya kusoma yako tofauti sana nikilinganisha na ya kwako.Tunakuwa tight sana mwaka wa 1 hadi wa 3.kwa kifupi huwezi kupata muda wa kufanya kazi nje,mpaka mwaka wa 4 wa mwisho ndo unaweza ukawa una muda wa kutosha.
Hivyo mimi niliamua kwenda na ecommerce first kwa vile nina weza kufanya kila kitu nikiwa room.
Niko mwaka wa mwisho chuo,my aspiration is to become a network engineer,i like cisco a lot,i have become a ccna already and i am on my way to becoming a ccnp.
Unajua ukiwa nje unaangalia competition kwa mazingira ya nje uliko hivyo inakuwa tofauti kidogo.
But thanks a lot for your input.
 
get your ccnp and add msce na uje ujipatie kazi nzuri! Ajira nyingi za networking nimeona wanahitaji MSCE. I hope uko ktk right track. Chek na database kidogo. Inaendana sana na networking!
 
get your ccnp and add msce na uje ujipatie kazi nzuri! Ajira nyingi za networking nimeona wanahitaji MSCE. I hope uko ktk right track. Chek na database kidogo. Inaendana sana na networking!
Thanks a lot mkuu!...
By the way mkuu,sio kwamba MCITP is more current kuliko MSCE kwa upande wa microsoft?
So nadhani MCITP(For newer Microsoft technologies, kama Exchange Server 2010, Windows Server 2008, or SQL Server 2008) Inakuwa makini zaidi kuliko(with Windows Server 2003–based old MSCE)?..Au kwa Bongo still
MSCE ndio dili?
 
kwa hapa naona bado wako outdated! Ila kwa kuwa new techn. Imejengwa juu ya older concepts ni vema ukachukua current! It is a matter of time tutakuwa updated hapa home!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom