MtuMmoja
Member
- Aug 30, 2011
- 77
- 13
Kwa Muhitimu wa degree ya Computer Science na Computer Engineering ,kwa serikalini mshahara wake ni kiasi gani au una range ipi!!I mean umeajiriwa kama Network Administrator,System Analyst au Programmer,na kwa private company salary ikoje,naomba mwanga kidogo katika hili.
Wapi ni bora serikalini au private sector katika kuendelea kupata Knowledge zaidi!!
Just Give me Reasons!
Wapi ni bora serikalini au private sector katika kuendelea kupata Knowledge zaidi!!
Just Give me Reasons!