Computer 32- bit operating system na computer 64- bit operating sytem

franknombo

Senior Member
Mar 30, 2019
170
160
Wakuu napenda kufahamu vitu vifuatavyo computer32- bit operating system na 64- bit operating system computer ikiwa na hzo bit Ina maana gan? Je hzo bit znautofauti gn na IP ni bora kuliko nyngne
 
tuanzie mbali kidogo

computer ina parts kuu 3

a. CPU ( processor )

b. Memory (RAM/ROM/REGISTERS/CACHE,etc)

c. Input Output I (I/O - display monitor, keyboard, mouse, etc)


vipengele 'b' na 'c' hapo juu huungwa na CPU kwa mfumo wa 'bus', bus ni ule waya aka cable aka ribbon cable

mf; cable kutoka kwa HDD kwenda kwa CPU iite 'bus', na mfumo wote wa bus ndani ya computer inatengeneza 'system bus'

izi bus zimegawanyika katika njia 3


A. DATA BUS - hizi hubeba taarifa kutoka sehem moja kwenda nyingine, mf: kutoka kwa CPU kwenda kwa display, au kutoka kwa keyboard kwenda kwa CPU,etc

chukulia kama bomba la kupitisha maji, bomba la diameter kubwa hupitisha maji megi zaidi kwa MPIGO

so data bus yenye BIT WIDTH kubwa zaidi hupitisha kiasi cha data kikubwa zaidi

na size ya data bus (BIT WIDTH) ndio ina rate bit width ya processor , ndio izo 32 bit width( 32 bit), 64 bit, kuna za 8 bit mf: processor za AVR, ARM ndogo, kuna za 16 bit mf: PIC,


baadhi ya watengenezaji wa 8 bit ni hawa hapa




B. ADDRESS BUS - hizi hubeba anuani, ili CPU ijue data hii iende wapi au imetoka wapi

nazo zinakua rated kwa BIT WIDTH, kwa hapa width ikiwa kubwa ndivyo 'addressee' wanakua wengi zaidi

ni sawa na guest house yenye vyumba vingi ndivyo zile namba za vyumba zinazidi kua juu mf: chumba no. 330


C. CONTROL BUS - hizi hubeba taarifa (inaamuru) za nani alale nani awe active kwa mda upi, pia husoma taarifa za nani kalala nani yuko active

mf: diplay inapo lala (sleep) inapokea command ya '0' kupitia katika control bus kutoka kwa CPU, iapoamka inapoke command ya '1'

hii pia inakua rated kwa BIT WIDTH, width inapokua kubwa ndio CPU huweza kutuma 'control command' kwa members wengi zaidi kwa MPIGO ( in parallel mode' )

so unaweza kuta computer ina '64 bit of data bus, 16 bit of address bus and 8 bit of control bus', ina kinachoangaliwa ni bit width ya DATA BUS pekeee

unapoweka OS lazima OS iendane na bit width ya computer yako ( bit width ya data bus)

mf: una computer ya 64 bit, inabidi uweke OS ya 64 bit

ukiweka OS ya 32 bit kwa computer ya 64 bit processor, then data bus system zako zote zinakua 'impaired' na ku operate at 32 bit

najibu swali lako sasa: yenye bits kubwa husafirisha taarifa kwa haraka na husapoti RAM kubwa zaidi

64 bit system ina sapport RAM mpaka 2^64 - 1 ambayo sawa na GB nyingi ivi

32 bit system ina support RAM mpaka 2^32 -1 ambayo sawa na 4GB

zaidi tembelea

 
Bits ni kifupi cha Binary digits

digits =0, 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9
Binary digits =0,1 (After Gottfried Wilhelm Leibniz, binary numbering system)

digits total 10 hence base 10
Bits total 2 hence base 2

Binary digits is a digital computer numbering system

1 byte = 8 bits ( eight spaces to store/handle data's 0's and 1's )

8 bits (1 byte) software needs an hardware resource of 8 bits of data handling capacity

In a simplest form.
For an OS of 8 bit format to run needs a CPU of 8 bit architecture, below that it can't even start to initialize.

So,
8 bits OS+ 8bits CPU architecture can access at least a memory of 1 byte (8bits storing spaces to store files)

Example

Storing the name AMINA in Computer (digital system)

To store a single character in a computer it need 1byte storage (8 bits spaces)
Typing the first character A a computer knows that a certain ASCII number of type 65 has been pressed from the keyboard.
65 is a base 10 decimal format , converting it to digital format which is of base 2 by dividing by 2 it becomes
(65) base 10= (1000001) base 2
Adding 0 at the start of 1000001 yields
01000001 which is 8 bits states.
Now to store the first later A from the word AMINA you need 1 byte storage (8 bits spaces). How A is stored as 01000001 is an electronics hardware sky, another transistor and logic gates story. The whole name AMINA would need a parallel of 8 bits spaces of 0's or 1's series , actually 5KB storage.

BITS are memory capacities.
bit or bits is the exponent of base 2

In data transmission;(how many bits/signal pulses are sent per sec)
data rate measurement
kilo means 1000
1Kb=1000kilobits
1kbps=1000kilobits per sec
9600bps=9600bits per sec

In memory storage (how much space to store some bits/not signal pulses)
kilo means 1024
1KB=1024Bytes
1KB=1000Kb*8=8000kilobits
1GB=1024KB
etc



maximum amount of RAM a processor can address= 2^(width of data bus in bits)

1bit =2 combinations (1 bit memory can either store 0 or 1)
2bits=4 combinations (2bit memory can store two's 1bits or 1bit and 1bit )
means 0 or 1 and 0 or 1 (do an AND logic each other then it can store either 00 or 01 or 10 or 11, four combinations and one group at a time in storage).

3bits =8 combinations (3bits memory ca store in this format xxx, and x representing 0 or 1)
-
-
-
32bits =4294967296 combinations =2^32 bytes=4GB ( to handle 32bits OS data, typical RAM needs a maximum of 4GB of RAM)
-
-
64bits = 2^64bytes= 16exbytes(16EB) of physical RAM. practically AMD64 currently supports to around few TB's of physical RAM.





The 32 bits OS can run on both on 32 bits processor like the intel 32 bit CPU (x86, acronym of 8086) and higher bits processor like 64-bits AMD processor (64- bit processor which is an AMD processor evolution)

A 64 bits OS can't run on 32 bit processor (x86) but can run on 64 bit processor. It can't even start.

an 32 bit app. can run on both on 32 bits OS and 64 bits OS(64 ) as they are usually written as x86-64

an 64 bits app. requires some features to run on 32 bits OS.




regards;
An Engineer.
 
chukua hii...

computer yenye 32 OS, Haiwezi kutambua RAM zaidi ya 4GB. wala Hard disk zaidi ya 2TB.

kama computer ina RAM 8GB na Hard disk 4TB basi lazima iwekwe 64bit Windows . Kinyume na hapo itatumia 4GB Ram pekee na 2TB Hdd pekee ndio itaonekana.
Wakuu napenda kufahamu vitu vifuatavyo computer32- bit operating system na 64- bit operating system computer ikiwa na hzo bit Ina maana gan? Je hzo bit znautofauti gn na IP ni bora kuliko nyngne
 
chukua hii...

computer yenye 32 OS, Haiwezi kutambua RAM zaidi ya 4GB. wala Hard disk zaidi ya 2TB.

kama computer ina RAM 8GB na Hard disk 4TB basi lazima iwekwe 64bit Windows . Kinyume na hapo itatumia 4GB Ram pekee na 2TB Hdd pekee ndio itaonekana.
Je inawezekana kubadili 32bits ikawa 64bits
 
Je nawezaje kutambua PC yenye 32Bit au 64Bit.

Na je PC 32Bit naweza kuweka OS yenye 64Bit na ikafanya kazi vizuri?
 
Je nawezaje kutambua PC yenye 32Bit au 64Bit.

Na je PC 32Bit naweza kuweka OS yenye 64Bit na ikafanya kazi vizuri?
Kuitambua Pc kama Inatumia 32 bit au 64 bit Fanya Hivi Bofya Icon ya Computer au THIS PC kwenye Desktop kisha Right click ui Property utaona Maelekezo Yote yamewekwa Wazi....

Hizi Bits Zinawezekana Kubadilishwa Ila Ukitaka Kuzifaidi vizuri hakikisha kabla Hujabadili je Pc yako inakigezo cha Kupokea hio Bit unayotaka Kuweka..

Ukitaka Kuweka 32bit Hakikisha Ram unayo 4GB kushuka Chini na Ukitaka Kuweka 64 bit Hakikisha RAM 4GB kwenda Juu...

Pia 64bit Inaingia Kwenye 2GB Ram ila Mziki wake utaupenda itakusumbua tu ni Vizuri Ukafata Mahitaji husika.

NB: KAMA UNA RAM 4GB Hizi Bits Zote Mbili Zina Run Vizuri Bila Shida kabisa (nina Experience).
 
Sasa fanya hivi nenda upande wa search engine andika neno dxdiag. Kisha utaona sifa zoote za pc yako ila ukikuta x86 bas ujue pc yako ni 32bit tu
ATENTION: kila ki tu hapa duniani kina mashaliti yake na talatibu zake.
 
Sasa fanya hivi nenda upande wa search engine andika neno dxdiag. Kisha utaona sifa zoote za pc yako ila ukikuta x86 bas ujue pc yako ni 32bit tu
ATENTION: kila ki tu hapa duniani kina mashaliti yake na talatibu zake.
Sio katika search bali ni katika RUN window (Win + R)...hii ni kwa tarakishi za windows pekee
 
Kuitambua Pc kama Inatumia 32 bit au 64 bit Fanya Hivi Bofya Icon ya Computer au THIS PC kwenye Desktop kisha Right click ui Property utaona Maelekezo Yote yamewekwa Wazi....
Hizi Bits Zinawezekana Kubadilishwa Ila Ukitaka Kuzifaidi vizuri hakikisha kabla Hujabadili je Pc yako inakigezo cha Kupokea hio Bit unayotaka Kuweka..
Ukitaka Kuweka 32bit Hakikisha Ram unayo 4GB kushuka Chini na Ukitaka Kuweka 64 bit Hakikisha RAM 4GB kwenda Juu...
Pia 64bit Inaingia Kwenye 2GB Ram ila Mziki wake utaupenda itakusumbua tu ni Vizuri Ukafata Mahitaji husika.
NB: KAMA UNA RAM 4GB Hizi Bits Zote Mbili Zina Run Vizuri Bila Shida kabisa (nina Experience).
Kwahiyo ishu ni Ram tu au sio. Na jinsi ya kuchange nimeona kuna mdau amesema ni kuweka tu OS yenye 64bits baasii au ..
 
tuanzie mbali kidogo

computer ina parts kuu 3

a. CPU ( processor )

b. Memory (RAM/ROM/REGISTERS/CACHE,etc)

c. Input Output I (I/O - display monitor, keyboard, mouse, etc)


vipengele 'b' na 'c' hapo juu huungwa na CPU kwa mfumo wa 'bus', bus ni ule waya aka cable aka ribbon cable

mf; cable kutoka kwa HDD kwenda kwa CPU iite 'bus', na mfumo wote wa bus ndani ya computer inatengeneza 'system bus'

izi bus zimegawanyika katika njia 3


A. DATA BUS - hizi hubeba taarifa kutoka sehem moja kwenda nyingine, mf: kutoka kwa CPU kwenda kwa display, au kutoka kwa keyboard kwenda kwa CPU,etc

chukulia kama bomba la kupitisha maji, bomba la diameter kubwa hupitisha maji megi zaidi kwa MPIGO

so data bus yenye BIT WIDTH kubwa zaidi hupitisha kiasi cha data kikubwa zaidi

na size ya data bus (BIT WIDTH) ndio ina rate bit width ya processor , ndio izo 32 bit width( 32 bit), 64 bit, kuna za 8 bit mf: processor za AVR, ARM ndogo, kuna za 16 bit mf: PIC,


baadhi ya watengenezaji wa 8 bit ni hawa hapa




B. ADDRESS BUS - hizi hubeba anuani, ili CPU ijue data hii iende wapi au imetoka wapi

nazo zinakua rated kwa BIT WIDTH, kwa hapa width ikiwa kubwa ndivyo 'addressee' wanakua wengi zaidi

ni sawa na guest house yenye vyumba vingi ndivyo zile namba za vyumba zinazidi kua juu mf: chumba no. 330


C. CONTROL BUS - hizi hubeba taarifa (inaamuru) za nani alale nani awe active kwa mda upi, pia husoma taarifa za nani kalala nani yuko active

mf: diplay inapo lala (sleep) inapokea command ya '0' kupitia katika control bus kutoka kwa CPU, iapoamka inapoke command ya '1'

hii pia inakua rated kwa BIT WIDTH, width inapokua kubwa ndio CPU huweza kutuma 'control command' kwa members wengi zaidi kwa MPIGO ( in parallel mode' )

so unaweza kuta computer ina '64 bit of data bus, 16 bit of address bus and 8 bit of control bus', ina kinachoangaliwa ni bit width ya DATA BUS pekeee

unapoweka OS lazima OS iendane na bit width ya computer yako ( bit width ya data bus)

mf: una computer ya 64 bit, inabidi uweke OS ya 64 bit

ukiweka OS ya 32 bit kwa computer ya 64 bit processor, then data bus system zako zote zinakua 'impaired' na ku operate at 32 bit

najibu swali lako sasa: yenye bits kubwa husafirisha taarifa kwa haraka na husapoti RAM kubwa zaidi

64 bit system ina sapport RAM mpaka 2^64 - 1 ambayo sawa na GB nyingi ivi

32 bit system ina support RAM mpaka 2^32 -1 ambayo sawa na 4GB

zaidi tembelea

Mkuu heshima yako, nina swali moja kwako.

Nina PC nimeitoa mahali baada ya kampuni kupata changamoto za hapa na pale ila tatizo ina Administration Account.

Siwezi kuinstall anything pasipo hiyo Password ya Admin.

Nifanyeje Mkuu kuondoa au kubypass hii kitu? Au kuna namna yoyote naweza install vitu pasipo hii password?
 
Back
Top Bottom