Atlantis Voyager
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 367
- 500
Naamini hapa mkurugenzi ataupata ujumbe sawia. Takribani miezi 2 sasa nimekuwa mnunuaji mzuri wa Chapati pale Royal Bakery kawe mlalakua. Chapati nadhani sasa hazipikwi vizuri. Bali zinaunguzwa na kufanya ladha tofauti.
Precisely toka chapati zianze kukaangiwa nje kumekuwa na kushuka kwa kiwango cha upishi,
Naomba wahusika mjitafakari pia suala la mchanga kwenye chapati. Tunafuarahia huduma zenu lakini kwenye dosari mjirekebishe
Precisely toka chapati zianze kukaangiwa nje kumekuwa na kushuka kwa kiwango cha upishi,
Naomba wahusika mjitafakari pia suala la mchanga kwenye chapati. Tunafuarahia huduma zenu lakini kwenye dosari mjirekebishe