BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Mkuu mie nimeuliza swali tu Mkuu. Hata kuuliza maswali hadi 2020!?
Wapime kohozi kabisa
Huyu ndo aliyesema 'fahari ya macho haifilisi duka'
Nawe umewahi kuiquote mi nshaifuta msala wako huoShauri yako siku hizi sio coco beach tena... Tanganyikaaa
hahaha ....dah
Muhenga aliyesema mkitaka mali mtaipata shambani.
we jamaa bwn
Naijuliza tu hivi aliepiga hii picha kwa nyuma bado yuko uraiani?
Mhenga aliyesema "chombo cha kuzama hakina usukani"