Kgothalo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 8,490
- 46,806
Hahah hiyo kweli ndio bhangi nibangue
Hahah hiyo kweli ndio bhangi nibangue
daaaah siku zimekwenda namuona Golden Boy Mapung'o umli umemuenda saana
Mbavu zangu
huyu mhenga alisema jogoo la shamba haliwiki mjini halafu wahenga wa town wakamwambia kuwa mjini shule,,,,
Naomba mnikumbushe huyu mhenga alisemaje??
hahahaha,,, jamani mbavu zangu mimi!
huyu mhenga alisema PONDA MALI kufa kwaja
Huyu Mhenga ni kaka yake Mshana Jr ila sijui alisema nini miaka hiyo BAPA ndio znaingia
lohhhhh,,, huyu mhenga aliyetanua miguu kaniacha hoyi!!Wahenga waliosema "Mficha uchi hazai"
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Duh!!huyu nahisi atakuwa ni mumiyani kule kibiti
Muhenga aliyesema ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji
Huyo ni yule aliyesema ''mchumia juani hulia kivulini''
sijui huyu alisemaje
Huyo ndo yule aliesema mtegemea cha ndugu hufa masikiniWewe nawe huyu mhenga nae
Hahahhaaaaaaaa