Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,328
- 2,282
Asee Comoro ya sasa siyo ile ya kujipigia kama zamani,nimefatilia kikosi chao vijana wengi wanacheza nje Ufaransa, Ubelgiji n.k
Sina hakika kama Tanzania tukicheza nao watatuacha salama.
Tanzania tunafeli wapi?
Ina maana bado sisi ni wanyonge mpaka kwenye mpira kushinda Comoro?
Sina hakika kama Tanzania tukicheza nao watatuacha salama.
Tanzania tunafeli wapi?
Ina maana bado sisi ni wanyonge mpaka kwenye mpira kushinda Comoro?