Comoro yafuzu AFCON 2021 na kuiacha Kenya

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
2,328
2,282
Asee Comoro ya sasa siyo ile ya kujipigia kama zamani,nimefatilia kikosi chao vijana wengi wanacheza nje Ufaransa, Ubelgiji n.k
Screenshot_20210325_234711.jpg

Sina hakika kama Tanzania tukicheza nao watatuacha salama.
Tanzania tunafeli wapi?
Ina maana bado sisi ni wanyonge mpaka kwenye mpira kushinda Comoro?
 
Hatuna academy nyingi zilizopo hazikidhi viwango hata timu kama Simba au yanga uwekezaji kwa timu za vijana ni mdogo sana hasa upande wa benchi la ufundi timu y Taifa ya vijana walimu wake ni wa kuokotwa kama Jamhuri Kiwelu
 
Mifumo ya nch yetu nayo n shida ukiangalia vzur hao vjana wengi wanaish France na wanaile kitu URAIA PACHA inawasaidia

Umefika wakat Sasa tuache mambo ya uraia mmoja tubadilike
Hata mm naona,hata msimu uliopita ilibak kidogo tu wafuzu
 
Back
Top Bottom