Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Omr upo? Umeona unavyotuboaga na stori zako eeh? HATA WEWE UNA TABIA HIZO HIZO, HUWA UNATUUZI SANA WEWE MTU! kwa udini upo, kwa umagamba upo duh! Hata ulivyoandika matusi hayakosi, mnauzi sana watu wa namna yenu!
<br />
<br />Mzenji mmoja hawakilishi zanzibar nzima, msitake kuleta chuki ya kijinga hapa. Mtu na akili zake hawezi kuleta stori za facebook hapa.
<br />