real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Commercial Bank of Africa (cba), imetangaza kuyafunga matawi yake madogo ya Tunduma, Moshi, Mtwara na Mbeya ifikapo Aprili 11, 2018. Hata hivyo imewahakikishia wateja wake kuwa, huduma zitaendelea kupatikana kama kawaida katika matawi mengine yaliyoko maeneo mbalimbali nchini.
Chanzo: Swahili
Chanzo: Swahili