Comments mbalimbali baada ya mechi ya jana

Avatar

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,127
11,904
IMG-20190623-WA0007.jpeg
IMG-20190624-WA0000.jpeg
 
Tatizo hao wasenegal weusi sana,wanatisha so jamaa walikuwa wanawashangaa sana
 
Tulipofuzu tu inatosha, haya mengine haya hayashangazi,kama tuna akili hapa ndiyo tujifunze
 


Sifa tu... Kunatabu gani kutumia lugha rahisi kwa hadhira..

Sijui hao mafollower wake wote ni ma linguistic..
Ukijaribu tu kusoma hayo maneno, unajikuta kila neno unalirudia rudia uone kama linatamkika..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom