ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,550
- 44,700
Oi tuchangamkeni watanzania jumapili Kama hizi Ni siku za kuchangamka,TUnataka tujuane kwa kazi taja: vifaa,tools, devices, items tatu(3) ambazo una deals nazo Sana ukiwa kazini kwako.members wa jf tukutabirie kazi utayokuwa unafanya
Tuanze na huyu dada ninaemkubali Sana humu anaitwa Demiss niambie vifaa vyako vitatu vinavyokuzunguka wherever you work?
Tuanze na huyu dada ninaemkubali Sana humu anaitwa Demiss niambie vifaa vyako vitatu vinavyokuzunguka wherever you work?