CoolestKing
Member
- Nov 18, 2018
- 57
- 72
1. kalamu
2. Notebook
3. Recorder
2. Notebook
3. Recorder
Duh.. Pole yake.. Kuna powder inatikw kumwagia around eneo unaloweka Short time camping so kama kuna wadudu hatarishi wanasogea mbaliInatakiwa kila unapoenda kujisaidia unaangalia nani kajistiri humo.
Nakumbuka miaka ya nyuma sana kuna jamaa alitoka kwenye sleeping bag yake kwenda kujisaidia ile kurudi kaingia na kufunga zipu duu kumbe kuna nyoka kaingia humo jamaa aliwahiwa mara tatu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Pole yake kwa kweliDuh.. Pole yake.. Kuna powder inatikw kumwagia around eneo unaloweka Short time camping so kama kuna wadudu hatarishi wanasogea mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
TrueVifaa vyenye maneno magumu kazi ya kutabiri ikanishinda ikanibid niwashirikishe Google.nikajua hizo zana zinapatikana studio obvious Jamaa Ni producer wa miziki
Oi tuchangamkeni watanzania jumapili Kama hizi Ni siku za kuchangamka,TUnataka tujuane kwa kazi taja: vifaa,tools, devices, items tatu(3) ambazo una deals nazo Sana ukiwa kazini kwako.members wa jf tukutabirie kazi utayokuwa unafanya
Tuanze na huyu dada ninaemkubali Sana humu anaitwa Demiss niambie vifaa vyako vitatu vinavyokuzunguka wherever you work?
Mwandishi wa habari1. kalamu
2. Notebook
3. Recorder
Ndiyo mkuu.