Achan na ayo mapambo kwani ya ngeri!! Ayo yanaitwa mapambo yananogesha lugha tu sio kwamba nimeshindwa kuweka herufi zake hapana.. Ata nywele ukinyoa kichwani unajidesgn kwanini usinyoe moja kwa moja bila fank?Kuna shule nilikuwa nafundisha. Kuna dogo aliandika essay kama hiyo, kama muimba hiphop. Kaweka maneno shizzle, dat, manizzle nk.
Mapambo gani hayo ya uwendawazimu.Achan na ayo mapambo kwani ya ngeri!! Ayo yanaitwa mapambo yananogesha lugha tu sio kwamba nimeshindwa kuweka herufi zake hapana.. Ata nywele ukinyoa kichwani unajidesgn kwanini usinyoe moja kwa moja bila fank?
Hamna Kiingereza hapa! Pole!Jamani mimi napenda sana kingereza najifunza taratibu,naomba mnaojua mnirekebishe nilipokosea na upande gani unanisumbua zaidi natuma hiki kipande hapo chiniView attachment 1741080
Alipata alama (marks) ngapi?Kuna shule nilikuwa nafundisha. Kuna dogo aliandika essay kama hiyo, kama muimba hiphop. Kaweka maneno shizzle, dat, manizzle nk.
Wemwenyewe umeshindwa hadi kuandika neno English kwa kiswahili pole weweHamna Kiingereza hapa! Pole!
Ha ha ha njoo tuangalie wote baxHizo x zimejazana kwelikweli.Inaonekana wewe ni muangalia x mzuri sana.