KimChi
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 122
- 159
Habari wakuu,
Nimekuja gundua wadau wengi wa JF wanashuhuda za uhakika wa 100% za Tiba fulani za Asili kwa kuwa binafsi au ndugu zao wa karibu walizitumia kutatua Maradhi, Ulemavu au matatizo yaliyowasumbua na wakafanikiwa.
Hivyo nachukua fursa hii kumkaribisha yeyote mwenye kujua Tiba Asili ya jambo lolote na mwenye ushahidi Binafsi, aelezee kwa kina kwa kuandika Comment 1 tu kwa tiba au mkusanyiko wa tiba ili Tuweze kusaidia wadau wengine.
Tiba na suluhu nyingi za asili kuzipata ni mpaka uwadadisi wazee wajuvi ambao siku za hivi karibuni wamepungua na mijini hatujui kabisa wazee hao walipo, Hivyo huu ni wasaa kwa wadau tuibiane Siri za Tiba na Tatuzi hizi.
KUMBUKA: Kuweka herufi kubwa kutaja Kichwa cha Jina la Tiba au Suluhisho kabla ya kuelezea. Na pia ili kutenganisha tiba hizo endapo umeziandika kwa pamoja. Kumbuka pia kuandika maelezo ya muhimu pekee na ushuhuda mfupi kuokoa muda. UONGO, MATANGAZO YA BIASHARA na kuitana PM hakuruhusiwi.
Karibuni Wadau.
Nimekuja gundua wadau wengi wa JF wanashuhuda za uhakika wa 100% za Tiba fulani za Asili kwa kuwa binafsi au ndugu zao wa karibu walizitumia kutatua Maradhi, Ulemavu au matatizo yaliyowasumbua na wakafanikiwa.
Hivyo nachukua fursa hii kumkaribisha yeyote mwenye kujua Tiba Asili ya jambo lolote na mwenye ushahidi Binafsi, aelezee kwa kina kwa kuandika Comment 1 tu kwa tiba au mkusanyiko wa tiba ili Tuweze kusaidia wadau wengine.
Tiba na suluhu nyingi za asili kuzipata ni mpaka uwadadisi wazee wajuvi ambao siku za hivi karibuni wamepungua na mijini hatujui kabisa wazee hao walipo, Hivyo huu ni wasaa kwa wadau tuibiane Siri za Tiba na Tatuzi hizi.
KUMBUKA: Kuweka herufi kubwa kutaja Kichwa cha Jina la Tiba au Suluhisho kabla ya kuelezea. Na pia ili kutenganisha tiba hizo endapo umeziandika kwa pamoja. Kumbuka pia kuandika maelezo ya muhimu pekee na ushuhuda mfupi kuokoa muda. UONGO, MATANGAZO YA BIASHARA na kuitana PM hakuruhusiwi.
Karibuni Wadau.