Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
Katika Comedian movie zangu kwa mwaka huu ni Coming 2 America imejaa vituko mno yaani nikitazama nafurahi mda wote inaondoa stress kwa kweli ukiachana na mitungi.
Nilipenda Wesley Snipes alivyocheza character ya general izziiiiiiiii na vile anavyoongea kwa pozi na hizo stunt zake yeye na hao askari wake aloo ni shida ni character amabaye nimkubali sana humu na yule mtoto wa king Akeem wanamwita the bastard.
Davido naye alinikosesha na ngoma zake alafu biti la halelujah sikulisikia humu au ni mimi tu
Tuambie mdau character yupi kakufurahisha humu.
Nilipenda Wesley Snipes alivyocheza character ya general izziiiiiiiii na vile anavyoongea kwa pozi na hizo stunt zake yeye na hao askari wake aloo ni shida ni character amabaye nimkubali sana humu na yule mtoto wa king Akeem wanamwita the bastard.
Davido naye alinikosesha na ngoma zake alafu biti la halelujah sikulisikia humu au ni mimi tu
Tuambie mdau character yupi kakufurahisha humu.