mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Baada ya kusikia coming to America 2 inatoka nilikuw na mzuka sana wa kuiona hasa ukizingatia namba moja edddie alifanya kazi nzuri hasa kucheza roles tofauti tofauti
Jana baada ya kuachiwa io movie nikajitafutia gb 1 niweze kuanglia huo mzigo
But i was disappointed matarajio yangu kuwa itakuwa kali kama ile ya Kwanza but kwa hii ya pili Eddie kazingua sana Imekuwa movie ya kawaida sana haina maajabu yoyote
Only scene chache ndo zimenivutia especially anko ake yule prince alivokuw anaact
Sehemu nyingine ni ya Davido performance kwenye sherehe katisha sana
Jana baada ya kuachiwa io movie nikajitafutia gb 1 niweze kuanglia huo mzigo
But i was disappointed matarajio yangu kuwa itakuwa kali kama ile ya Kwanza but kwa hii ya pili Eddie kazingua sana Imekuwa movie ya kawaida sana haina maajabu yoyote
Only scene chache ndo zimenivutia especially anko ake yule prince alivokuw anaact
Sehemu nyingine ni ya Davido performance kwenye sherehe katisha sana