Mzee Ajibu kakulia Simba. Kisha akaenda yanga. Una umri gani mwanangu.Hahaha ajibu umemsahau
Benno KakolanyaUmekosa hoja umeazna kuokoteza vitu vya kijinga
-Morrison
Na yule Doctor wa viungo wametoka wapi ?
- Gadiel
- Kakolanya
Na AjibuKwenye hiyo listi ongezea
Kakolanya;
Gadiel; na
Morrison.
Acha umbea wewe,aliyetaja ni Phiri au Msuva ni nani? Umbea ni aibu tuache na watu wetu kama ni magalasa ni ya kwetu siyo kuja kutuwekea maneno mdomoni. Sisi tumefurahi sana ujio wa Ushindi na Kocha wa makipa. Sasa wewe inakuuma nini mpaka unakimbilia kuleta umbea hapa.Aliyekuwa kocha wa Magolikipa na kuifanya Simba ifungwe na Kaizer Chiefs F.C. bwana Milton Nienov aibukia Yanga. Tuliaminishwa kuwa leo kuna jambo kubwa; kumbe kocha mzembe mwenye ujuzi mdogo kwenye mipira ya cross.
Kila kitu wakiachana nacho Simba yanga wanaona ni dhahabu.
Mashabiki wa yanga waliaminishwa Phiri au Msuva, kumbe utopolo kibao.
Naye tutawapaNi Bora upewe gunia lamkaa kuliko Mangungu. Hana uwezo kabisa wa kuongea na waandishi hasa akiwa kwenye presha.