DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
KOCHA WA MAKIPA WA SIMBA MBIONI KUJIUNGA NA YANGA SC
Taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa Yanga SC inakaribia kumnasa kocha wa zamani wa Simba, Mbrazil Milton Neinov ambaye alikuwa kocha wa magolikipa kipindi cha utawala wa Didier Gomes.
Yanga wanamchukua Mbrazil huyo kwa ajili ya kuliongezea nguvu benchi la vinara hao wa NBC Premier League.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa Yanga SC inakaribia kumnasa kocha wa zamani wa Simba, Mbrazil Milton Neinov ambaye alikuwa kocha wa magolikipa kipindi cha utawala wa Didier Gomes.
Yanga wanamchukua Mbrazil huyo kwa ajili ya kuliongezea nguvu benchi la vinara hao wa NBC Premier League.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app