Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
EA tv wameanza kusaka comedian(s) wapya watakao chukua gepu lililoachwa na akina Joti na kundi lake ambao waliwakimbia EA tv na kujiunga na TBC kwa sababu dhahiri kabisa ya mkwanja mnono zaidi hapo TBC.
Kilichonshangaza EA tv walitumia kila hila kuhakikisha jamaa kule TBC hawatumii jina la 'ze comedy' ambalo ndilo walipatia umaarufu kule Ea tv.
Kali zaidi ilo niduwaza jamaa wa EA tv kipindi chao kipya cha comedy star search wamekiweka siku ya alhamis saa 1 usiku, muda sawa na ule wa original comedy ya TBC.
Kama vile hiyo haitoshi wameweka marudio yake ni jumapili saa 12jioni sawa na marudio ya original comedy kule TBC.
Je unafkiri EA tv kugonganisha hivi vipindi ni njama zaidi za kuwauwa comedy original wa TBC au it is just a matter of coincidence?
Kilichonshangaza EA tv walitumia kila hila kuhakikisha jamaa kule TBC hawatumii jina la 'ze comedy' ambalo ndilo walipatia umaarufu kule Ea tv.
Kali zaidi ilo niduwaza jamaa wa EA tv kipindi chao kipya cha comedy star search wamekiweka siku ya alhamis saa 1 usiku, muda sawa na ule wa original comedy ya TBC.
Kama vile hiyo haitoshi wameweka marudio yake ni jumapili saa 12jioni sawa na marudio ya original comedy kule TBC.
Je unafkiri EA tv kugonganisha hivi vipindi ni njama zaidi za kuwauwa comedy original wa TBC au it is just a matter of coincidence?