Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wapendwa
kwa walioangalia comedy iliopita ni mahuzuniko makubwa sikuamini lijemaa kubwa kama mpoki aanaweza kusema matusi kwenye luninga ya jamii kama ile inahuzunisha sana ilikuwaje
walifika sehemu jamaa akamuuliza jamaa yake ati ALIEKUWA RAIS WA SOUTH ANAIITWA NANI THABOMBEKI na akizaa mtoto akamwita SITO ataitwaje SITOMBEKI
shame kubwa ya ajabu mtu mzima kama huyu kutoa matusi sehemu kama hii ikiwa inaangaliwa na watoto wadogo naomba tbc mumfindishe tabia hawa watu tunaomba tena na tena
kwa walioangalia comedy iliopita ni mahuzuniko makubwa sikuamini lijemaa kubwa kama mpoki aanaweza kusema matusi kwenye luninga ya jamii kama ile inahuzunisha sana ilikuwaje
walifika sehemu jamaa akamuuliza jamaa yake ati ALIEKUWA RAIS WA SOUTH ANAIITWA NANI THABOMBEKI na akizaa mtoto akamwita SITO ataitwaje SITOMBEKI
shame kubwa ya ajabu mtu mzima kama huyu kutoa matusi sehemu kama hii ikiwa inaangaliwa na watoto wadogo naomba tbc mumfindishe tabia hawa watu tunaomba tena na tena