Zero Conscious
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 254
- 508
Habari za wakati huu wadau, naimani mko fresh na mnaendelea vyema kukimbiza gurudumu la utafutaji.
In fact comedians wa Kenya wako vizuri sana kwenye tasnia hiyo, yaani si watu ambao wanaforce lakini automatically tu unajikuna unawafurahia, hasa content zao, the way they play a particular role and how they pronounce Swahili words.
Tanzania ni nchi yangu lakini in fact kwenye upande wa comedy hawajawahi kabisa kucapture attention yangu kufuatilia maana kama wanavyosemwa ni waropokaji tu. Though I respect what they are doing.
Kwa mfano kuna jamaa anaitwa NJUGUSH, the guy is so gifted na ndio the best kwangu. Nenda mtafute YouTube uone, utakuja kunishukuru.
NB: They Are so many but I have chosen to start with him. You'll never regret to spend your Megabytes
In fact comedians wa Kenya wako vizuri sana kwenye tasnia hiyo, yaani si watu ambao wanaforce lakini automatically tu unajikuna unawafurahia, hasa content zao, the way they play a particular role and how they pronounce Swahili words.
Tanzania ni nchi yangu lakini in fact kwenye upande wa comedy hawajawahi kabisa kucapture attention yangu kufuatilia maana kama wanavyosemwa ni waropokaji tu. Though I respect what they are doing.
Kwa mfano kuna jamaa anaitwa NJUGUSH, the guy is so gifted na ndio the best kwangu. Nenda mtafute YouTube uone, utakuja kunishukuru.
NB: They Are so many but I have chosen to start with him. You'll never regret to spend your Megabytes