Tetesi: combination

Kama una malengo ya kuwa engineer kasome PGM.coz Ina wigo mpana.

Kama una malengo ya kuwa mtu wa afya/Science kasome PCB..Ina wigo mpana.

Kama una malengo ya KUFANYA kazi zisizotumia akili nyingi
kasome HGL Ina wigo mpana kuliko comb zote za Arts.

Kama una mpango wa kuwa mfanyabiashara
EGM.ni best kuliko hata ECA

General.
Combination Nzuri kwa masomo ya Science Ni
PCB-Ina Wigo Mpana
PGM-Ina Fursa nyingi,kuliko PCM
PCM
CBN
CBG.

Kwa Biashara Ni
EGM- Ina Fursa, endapo ukagoma kusoma biashara mbeleni
ECA

Kwa Arts Ni
-HGL-Ina Fursa nyingi Sana kwa zile course ZENU
-KFL-Ipo on sport haswaa ukizamia tourism
-HGK
-GKL
-HKL

Angalizo,Kama uwezo upo Nenda College
 
Kama una malengo ya kuwa engineer kasome PGM.coz Ina wigo mpana.

Kama una malengo ya kuwa mtu wa afya/Science kasome PCB..Ina wigo mpana.

Kama una malengo ya KUFANYA kazi zisizotumia akili nyingi
kasome HGL Ina wigo mpana kuliko comb zote za Arts.

Kama una mpango wa kuwa mfanyabiashara
EGM.ni best kuliko hata ECA

General.
Combination Nzuri kwa masomo ya Science Ni
PCB-Ina Wigo Mpana
PGM-Ina Fursa nyingi,kuliko PCM
PCM
CBN
CBG.

Kwa Biashara Ni
EGM- Ina Fursa, endapo ukagoma kusoma biashara mbeleni
ECA

Kwa Arts Ni
-HGL-Ina Fursa nyingi Sana kwa zile course ZENU
-KFL-Ipo on sport haswaa ukizamia tourism
-HGK
-GKL
-HKL

Angalizo,Kama uwezo upo Nenda College

na kuhusu cutting point vp?
 
na kuhusu cutting point vp?
Point Ni 10. hizi Ni point za mwisho kusoma Combination yoyote Ile.
lakini utegemeana na Shule unayoenda.

katika hizo point kusiwe na fail (f)

I.e CCD Happ unasoma kabisa.
Kama ulitaka PCB Na ukawa na D ya physics Ila mengine ukapiga Basi PCB utaisoma.
 
Point Ni 10. hizi Ni point za mwisho kusoma Combination yoyote Ile.
lakini utegemeana na Shule unayoenda.

katika hizo point kusiwe na fail (f)

I.e CCD Happ unasoma kabisa.
Kama ulitaka PCB Na ukawa na D ya physics Ila mengine ukapiga Basi PCB utaisoma.

kwa PCB kama ana DCB anasoma?
 
Point Ni 10. hizi Ni point za mwisho kusoma Combination yoyote Ile.
lakini utegemeana na Shule unayoenda.

katika hizo point kusiwe na fail (f)

I.e CCD Happ unasoma kabisa.
Kama ulitaka PCB Na ukawa na D ya physics Ila mengine ukapiga Basi PCB utaisoma.
Ni bora hata aliyesoma kilimo na ufugaji kwa sasa
 
Na inakuwa vigumu na ni maamzi magumu kusoma udakitari halafu ukaenda kufanya kilimo kama kazi Yako kubwa, huku kwenye Afya changamoto imekuwa ni ajira
 
Back
Top Bottom