Hofu ulikuwanayo wewe watu walikuwa wanatembea muda wote tuna lala muda wote na tunakaa masaa yote wala tulikuwa hatukamatwi kwa kuzurula na tulikuwa tunatembea usiku wa manane hatukabwiMsukuma mwenzenu alifanya nn zaidi ya kujenga ujambazi, uuaji na kuwajengea hofu watu ktk nchi yao?
Wewe hiivi Sasa unakabwa kwa uzinzi wako tu. Lkn enzi za yule shetani watu awlitekwa akina Azory , Ben Sa8 na wengine wengiHofu ulikuwanayo wewe watu walikuwa wanatembea muda wote tuna lala muda wote na tunakaa masaa yote wala tulikuwa hatukamatwi kwa kuzurula na tulikuwa tunatembea usiku wa manane hatukabwi
Ukitaka kushindana na Dora Popote duniani lazima utekwe kwani weuoni Raisi wa Ukraine anavyo taka kutekwa ? Na watu kutekwa siyo Tanzania pekee ndiyo watu utekwa Gaddafi, Sadam Hussein wote walitekwa na kuuliwaWewe hiivi Sasa unakabwa kwa uzinzi wako tu. Lkn enzi za yule shetani watu awlitekwa akina Azory , Ben Sa8 na wengine wengi
Hapo zaidi ya 3B mzeeKatika miaka sita ya Magufuli - lini mawaziri zaidi ya mmoja kwenda ughaibuni? Jaribu kukokotoa hela iliyotumika hapo! Mamilioni mangapi? Anaye furahia safari hizi anawalakini.
Kipindi cha jiwe walaji walikuwa ni wachache sasahivi ni zaidi ya shamba la bibiHawajamfikia Makonda mpk alijitangaA kuwa ni mtu mwenye raha zaidi duniani.
Hawajamfikia Sabaya aliyekuwa na mabaunsa
Hawajamfikia Musiba aliyekuwa anacheza kama mtoto ikulu
Hawajamfikia jiwe aliyegeuza Kijiji Cha Chato kuwa Jiji na kusomba wanyama kupelekea chato
Kwa kinachoendelea na kuonekana hivi sasa ni bora tungekuwa na jeshi lingechukua usukani mara moja lkn siyo hao mgambo wa CCM kazi kuiba vyakula kambini kwenda kuhonga,, Nchi imefika pabaya kusema ukweli raisi anachupalia kukopa na kundi lake wanazila huku wakifanya mikakati ya kuuza nchi,, maharage anauza nini cha TANESCO huko Dubai? Nape ana habari gani huko Dubai? Makamba na Maharage wako kazini kama walivyotumwa na Samia kuiingiza Tanesco na wizara ya nishati katika majanga kama yale ya uwekezaji wa kipigaji,,Katika miaka sita ya Magufuli - lini mawaziri zaidi ya mmoja kwenda ughaibuni? Jaribu kukokotoa hela iliyotumika hapo! Mamilioni mangapi? Anaye furahia safari hizi anawalakini.
Maza akoAcha wivu wa kijinga
Sasa tusicheze mchezo wa paka na panya. Kwamba kila mtu analaumu pale anapokuwa nje ya chungu. Lkn akiwa ndani aanakuwa kimya.Kipindi cha jiwe walaji walikuwa ni wachache sasahivi ni zaidi ya shamba la bibi
Ndiyo nn Sasa hii? Umeishiwa hoja?Maza ako
Ndiyo hicho tunataka sasahivi walaji wanajulikana ni zile koo ambazo babu zao walikuwa kwenye uongoziSasa tusicheze mchezo wa paka na panya. Kwamba kila mtu analaumu pale anapokuwa nje ya chungu. Lkn akiwa ndani aanakuwa kimya.
Ili kutibu yote haya tuibadilishe katiba . Tupate katiba mpya.
Kumbe wewe wakati unatukana ulikuwa umeishiwa hoja?Ndiyo nn Sasa hii? Umeishiwa hoja?
Open up your mind if you want to get much moHIV ni mtanzania kweli Sasa hiz katuni Nini jmn
Jiongeze kidogo ujue maana ya "Expo" mwaka huu iliyofanyika Dubai+ Bashe, jamaa wameungana kupiga pesa za umma vizuri, umeowahi kuona watu vivutio vipo Tanzania lakini onyesho lipo imznUarabuni?
Nawewe unapata hela!!?Nchi imekomboka kutoka katika ile laana.
Wajinga?wanatafuta kuishi unawaona wajinga hivi vimishahara vyenu vinawanyima maarifa sana.Hoja mfu kabisa hii. Yaani tukose Kodi toka kwa wenye maduka kwasbb Kuna wajinga wachache wasiofuata taratibu (kwa jina la machinga) wamepanga bidhaa zao mbele ya maduka???
Walimtukana magu eti mshambaAcheni ubaguzi wa so called uzawa au sijui ukanda au kabila
Wekeni watu wenye uwezo wa kufanya kazi bila kuwaza Uwaziri Mkuu wala Urais
Tumeona mada hizi za ooh huyu mwizi au anatafuta popularity au anajijenga kwa next elections
Hivi hamuoni nchi kubwa wanawekwa vichwa hasa kwenye wizara zinazosimamia uchumi wa nchi?
Angalieni mfano Waziri wa Fedha, Mayor, na hata msemaji na mchambuzi wa masuala ya Uchumi ni nani
Kwanini serikali inabagua hivyo?
Sababu za msingi bila povu please