sasa mbona hatuonyeshwi hizo picha za columbus au hamuna?
Hivi Mayor huwa anjitambulisha mwenyewe au huwa anatambulishwa?
Mayor huyu wa ATL I hope sio mfupi kama Mayor mwenzie aka JD....
Hivi NN, Chandon bado ipo?
Hahahaaa....yeah...JD is short but his money is taller than Shaq.....
But this Mayor right here....is no man of "miniature proportions"....
huu uchokozi sasa... haya bwana!
Kwa hiyo mambo ni Columbus sio, hakuna soo watu watatia timu.
Heheheee....Ni katika yale mambo ya kukumbuka Maiko Jakson njoo....sitakiii...kama hutaki nenda. Mzee wa Kivillage...count me in ndani ya kibanda....nakuja huko....na nina ombi moja mkuu MKJJ...Kama itawezekana tualikie Mzee Denis Kucinich, back yard yake hiyo!
Nyie semenni tu.... wale ambao wanataka tuonane "off broadway" sijaona... wanaotaka tukutane kwamsosi or something ni PM.. nina nafasi kwa watu wasiozidi 20 tu...