Colony S03E01 Wataja Masai tribe wa Serengeti ila bila kusema Serengeti in Tanzania

master09

JF-Expert Member
Aug 12, 2013
808
559
Namaste.....

Wakuu Leo nilikuwa nacheki Series ya Colony season 3 na episode 1 ya tarehe 3 may 2018 ...jamaa alikuwa anachota maji kwa style ile ya kufunga ndoo mbili na mti katikati afu unaweka begani ....jamaa alisema "I Feel like a Masai tribeswoman" !!
..... mwanamke (sarah wa prison break) akajibu " Good !! .... Those women walk 40 miles across the Serengeti for water without complaning"

Nilichoona:-
1. Mwanamke wa kimasai au wa kitanzania kwa sababu ya Serengeti wako strong kwakutembea 40 miles kwaajiri ya maji.

2.Ningependa kama angetaja ile mbuga ya wanyama na nchi ilipo as (Serengeti in Tanzania )


20180504_033213.jpg
20180504_033231.jpg
 
Nadhani amekwepa kuifanyia promo ya bure hiyo mbuga. Wazungu wanajali sana biashara. Sio kama sisi unakuta umevaa tshirt ya matangazo mfano tshirt yenye tangazo la sigara au kampuni ya simu bure kabisa unawatangazia wengine na wanapata faida kupitia wewe. Ndio maana kwenye movie wanaedit hata scene zinazoonyesha matangazo mbalimbali. Ukiona tangazo ujue limelipiwa mfano unakuta star kasimama kwenye bango fulani au kavaa jeans au saa fulani yenye nembo kabisa.
 
Sema Wabongo na kiswahili chetu tunauza sana duniani ,sema ndio vile tu hatupay attention to detail.
 
Nadhani amekwepa kuifanyia promo ya bure hiyo mbuga. Wazungu wanajali sana biashara. Sio kama sisi unakuta umevaa tshirt ya matangazo mfano tshirt yenye tangazo la sigara au kampuni ya simu bure kabisa unawatangazia wengine na wanapata faida kupitia wewe. Ndio maana kwenye movie wanaedit hata scene zinazoonyesha matangazo mbalimbali. Ukiona tangazo ujue limelipiwa mfano unakuta star kasimama kwenye bango fulani au kavaa jeans au saa fulani yenye nembo kabisa.
Hahaah unashangaa Bongo muvi wanakaa baa kwenye vile vya cocacola au Pepsi wanaagiza na soda wanakunywa
 
Namaste.....

Wakuu Leo nilikuwa nacheki Series ya Colony season 3 na episode 1 ya tarehe 3 may 2018 ...jamaa alikuwa anachota maji kwa style ile ya kufunga ndoo mbili na mti katikati afu unaweka begani ....jamaa alisema "I Feel like a Masai tribeswoman" !!
..... mwanamke (sarah wa prison break) akajibu " Good !! .... Those women walk 40 miles across the Serengeti for water without complaning"

Nilichoona:-
1. Mwanamke wa kimasai au wa kitanzania kwa sababu ya Serengeti wako strong kwakutembea 40 miles kwaajiri ya maji.

2.Ningependa kama angetaja ile mbuga ya wanyama na nchi ilipo as (Serengeti in Tanzania )


View attachment 765231View attachment 765232
Theme yake ni ya mwaka gani? Wakati wa Tananyika au Tanzania na je, inaanzaje mwanzo yaani introduction episode ya kwanza? Usidai Tanzania wakati ilkuwa Tanganyika.
 
Namaste.....

Wakuu Leo nilikuwa nacheki Series ya Colony season 3 na episode 1 ya tarehe 3 may 2018 ...jamaa alikuwa anachota maji kwa style ile ya kufunga ndoo mbili na mti katikati afu unaweka begani ....jamaa alisema "I Feel like a Masai tribeswoman" !!
..... mwanamke (sarah wa prison break) akajibu " Good !! .... Those women walk 40 miles across the Serengeti for water without complaning"

Nilichoona:-
1. Mwanamke wa kimasai au wa kitanzania kwa sababu ya Serengeti wako strong kwakutembea 40 miles kwaajiri ya maji.

2.Ningependa kama angetaja ile mbuga ya wanyama na nchi ilipo as (Serengeti in Tanzania )


View attachment 765231View attachment 765232
kuwa masai sio lazima kuwa mtanzania kuna wamasai wa Kenya kwa mfano ila kwa hoja yako zingatia tu kwamba wametaja hilo jina Serengeti.
 
Ivi kwani duniani kuna serengeti ngap
Wanajua Serrngeti ipo Tanzania. Nikuwa mji mmoja nchi moja nje ya Tanzania mvali tu. Niko sokoni nanunua "Souvenir". Nikaulizwa unatoka wapi nikasema: "Tanzania". Yule mtu akajibu; "Ooh! Serengeti! Serengeti!" Nikamuuliza "umefika?" Akajibu: "Hapana! Tunaona kwenye Video na TV. Pazuri sana!" Wanafahamu. Janja ya majirani zetu kuhodhi tunu zetu haijafanikiwa.
 
Mwapenda vya bure. Sasa hizi mbuga zinahusiana aje na uchotaji maji?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom