Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,042
Meneja wa msanii maarufu Afrika Mashariki Diamond Platnumz, Sallam aliohojiwa kama kuna nyimbo yeyote itatolewa karibuni.
Akasema kuna collabo ya diamond na wizkid ila hakutaja jina la wimbo. Na wimbo huo upo kwenye album yake [HASHTAG]#aboyfromtandale[/HASHTAG] ambayo pia kuna kolabo ya Rick Rose itakayotoka 1st December.
Hongera kwao
Akasema kuna collabo ya diamond na wizkid ila hakutaja jina la wimbo. Na wimbo huo upo kwenye album yake [HASHTAG]#aboyfromtandale[/HASHTAG] ambayo pia kuna kolabo ya Rick Rose itakayotoka 1st December.
Hongera kwao