MyelomaSurviving from COVID-19 or Myeloma?
Yes labda uniambie tofauti yao. General Powel asili yao ni Jamaica na Obama asili yake ni Kenya. Sasa labda mwenzangu labda una kitu tofauti ambacho sikifahamu.Kwani huyu na Obama unaona wanafanana?
That I agree, although it has already done so time and again, sir.Only time will tell.
Hujajibu swali langu umetoa maelezo marefu tu,.Nimeuliza uliposema ataenda jehanam ya moto,Je kama alishatubu madhambi yake kabla hajakata roho?...Uko jehaman ataenda kutafuta nini?..Au mungu huwa ansamehi mtu akitubu..Hahaha... ndgyangu, toba ni kati ya mja na Muumba wake tu!!
Since alisababisha au kuamrisha au kushiriki ktk mauaji au kuangamiza umati...basi ana kesi na lazima awajibishwe yeye na kundi lake genge la mauaji binaadamu wasio na hatia ya kikatiliii.
Hivi umeelewa hata context ya swali langu kweli??.Katubu vp ulimuona
Sir Chifu!! Acha mkuu....Hujajibu swali langu umetoa maelezo marefu tu,.Nimeuliza uliposema ataenda jehanam ya moto,Je kama alishatubu madhambi yake kabla hajakata roho?...Uko jehaman ataenda kutafuta nini?..Au mungu huwa ansamehi mtu akitubu..
Huyu mbwa alijua ataishi milele yaan
Ushaamka huko usingizini!!?Marekani kukosa miamba mingine kama hii ndio imesababisha vitaifa kama Iran and Korea Kaskazini kuota sharubu. Hawa ndio walifanikisha vipigo vya mbwa koko.
Inashangaza sana asee utadhani IRAN na KOREA NORTH zimezaliwa baada ya kifo cha huyo jibwaWw kichwa mbumbumbu kwani N.Korea Iran hazikuwepo na tawala zao kipindi yupo hai, kashavuna alichopanda kmamake aende akaongopee na huko
Sasa kama ni UMBWA kweli asiambiwe MKUUTumia lugha nzuri, kutukana haikusaidii kitu
Eeeh kwasababu walikua hawana heshma ndio maana wakashambuliwaNorth Korea na Iran walikuwepo ila walikuwa na heshma. Leo Iran anashambulia kambi za Marekani afu hakuna hatua zinachukuliwa, kuishambulia Marekani ilikuwa criminal, majibu yake lazima yawe fire and thunder.
Mkuu unayajua maumivu ya blood cancer au umecomment kwa ushabiki tu kama vile unashabikia ligi ya Uingereza?Amekufa peaceful sio kama yule General wa Iran aliekufa kifo cha kidhalili from Hellfire Missile.
Sent using Jamii Forums mobile app
'Iraq war hawk'...mmoja wa wanasiasa waliopigia chapuo/kuunga mkono uvamizi wa Marekani huko Iraq.Naam alipendwa na kuheshimika sana na Wamarekani wengi na katika nchi nyingi duniani.
Dah!...umekumbwa na nini mkuu?...au hasira?Bakora zinamsubiri kmmke