Na kuitoa unafanyaje*35*0000#
Ukitumia hii atakaekupigia ataambiwa samahani namba unayopiga HAIPO mpaka utakapoamua.
Msaada tafadhali jinsi ya kujitoa...nimejaribu zimekubari nashindwa kujitoa na kunamgen namsubiri stend..nadhan atakuwa anapiga anaambiwa huduma zimezuiliwa*35*0000#
Ukitumia hii atakaekupigia ataambiwa samahani namba unayopiga HAIPO mpaka utakapoamua.
#35*0000#Na kuitoa unafanyaje
Mkuuu sasa ukipiga *21*Namba#Kwa tigo na airtel *21*0754125125#
Kujiondoa ##002#ok
Anayekupigia ataambiwa namba haipatikani, ila wewe utaipata msg namba iliyokupigia.
Kublock sms ya aina yoyote ile isiingie
*35*0000*16#
Ku-unblock anza na #
namba zako nne kwa kuanza na code za mtandao husika au, mfano kama namba yako ni 0754125125125125 utaweka 0754 au 07541251?Mkuuu sasa ukipiga *21*Namba#
Hapo unachokifanya unafoward simu zako zote kwenye iyo namba ulioiweka hapoo juu. Hiyo code inaaply kwenye line zote, hapo cha msingi inatakiwa upige *21*then weka namba zako nne za mwanzo usiweke no nzima coz call zitakuwa forwarded kwenye hiyo no ulioweka#
Msaada tafadhali jinsi ya kujitoa...nimejaribu zimekubari nashindwa kujitoa na kunamgen namsubiri stend..nadhan atakuwa anapiga anaambiwa huduma zimezuiliwa
Nimeweka hiyo namba coz haipatikani.namba zako nne kwa kuanza na code za mtandao husika au, mfano kama namba yako ni 0754125125125125 utaweka 0754 au 07541251?
Itajitoa automatically baada ya miezi mitatu mkuu.Msaada tafadhali jinsi ya kujitoa...nimejaribu zimekubari nashindwa kujitoa na kunamgen namsubiri stend..nadhan atakuwa anapiga anaambiwa huduma zimezuiliwa