#002# mkuu ukisha lock kwa mda utakao taka piga hiyo kuondoa lock*21*0754125125#
Kulock sim unayo taka Kuunlock
Nakuletea sasa ivi piga kwanza iyo kuondoa usunbufu
Kila la kheri mkuuWakuu naomba mnisaidie code za kulock simu au laini, ili isiweze patikana hewani, Lakini niweze kufanya access za internet na kutuma msg kama kawaida.
Pia mnisaidie na code za kufungua hiyo laini pale nitakapohitaji.
Kwani kuna madhara tena mkuuKila la kheri mkuu
Zingatia madhara ya kulock pia
Kila jambo lina madhara hasi na chanyaKwani kuna madhara tena mkuu
Kama sijakuelewa vizur hivi sheikhe ,mie kwangu huja ikiwa imeandikwa lte so nikiweka weka tu hapo kama preffered network type nimemaliza auNjia rahisi kma simu yako ina 4G na line yako ni ya 4G ni kichagua option ya 4G Only kwenye Network settings. Hii ita block calls zote lakini msg na internet zitafanya kazi. Hii ni kma eneo lako 4G inashika pia
Kwa simu zinazoandika "Preferred" na hazina option ya 4G only unaweza kuipata kwa kuandika ##4636## kwenye Phone dialer kisha chagua Phone Information. Hapo utaweza kuweka 4G onlyKama sijakuelewa vizur hivi sheikhe ,mie kwangu huja ikiwa imeandikwa lte so nikiweka weka tu hapo kama preffered network type nimemaliza au