Matombo msalabani
Akili zangu kama za huyo.aliekupigiajibu lako sawa na AKILI ZAKO
Hahaaa hio ni ya Zanzibar ila haikuwa implemented nazani, ni Code number ya Zanzibar sema kwa sababu kuna 255 ya Tanzania ikabidi na wao watumie hio hio ya 255.Wapendwa wajumbe wa JamiiForums ,Hi code number ni ya Nchi ipi duniani?
kwa nini wamezuia code ya zanzibar?
hapo naona kuna fitina za CCM kwa zanzibarHahaaa hio ni ya Zanzibar ila haikuwa implemented nazani, ni Code number ya Zanzibar sema kwa sababu kuna 255 ya Tanzania ikabidi na wao watumie hio hio ya 255.
Zanzibar sio nchi ,hivyo haiwezi tumia code yako!?? Wanategemea yetu huku bara !! Main sponsor waoWhy haitumiki?