Yaani ningekuwa kiongozi mwenye mamlaka nilichokiona jana ,
Leo ningeamkia kwa halmashahuri ya Kinondoni nijuwe tatizo liko wapi na niwapeleke mpaka eneo la tukio washuudie wenyewe halafu waseme kama ni sawa kuwa na beach kama Coco iliyokuwepo maeneo ya Uzunguni kuwa chafu kama ilivyo wakati kuna wafanya biashara kibao wanafanya biashara pale na wanalipwa ushuru. Hizo hela zinaenda wapi?
Na wanashindwa nini kuwaambia awo wafanya biashara wafanye usafi kwenye eneo lao kabla hawajaanza biashara zao.
Leo ningeamkia kwa halmashahuri ya Kinondoni nijuwe tatizo liko wapi na niwapeleke mpaka eneo la tukio washuudie wenyewe halafu waseme kama ni sawa kuwa na beach kama Coco iliyokuwepo maeneo ya Uzunguni kuwa chafu kama ilivyo wakati kuna wafanya biashara kibao wanafanya biashara pale na wanalipwa ushuru. Hizo hela zinaenda wapi?
Na wanashindwa nini kuwaambia awo wafanya biashara wafanye usafi kwenye eneo lao kabla hawajaanza biashara zao.